Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live

Maandamano ya February 13 dhidi ya wanazi

13.02 ni siku ya kukumbuka jinsi mji wa Dresden ulivyoshambuliwa mwaka 1945.Tarehe hiyo inatumiwa na wanazi tangu mwishoni mwa miaka ya 90 kueneza propaganda zao.Wananchi walio wengi wanaipinga...

View Article


Zambia ndio mabingwa wa soka barani Afrika

Zambia imeshinda taji lao la kwanza la mataifa ya bara la Afrika mjini Libreville, mji ambao miaka 19 iliyopita umekuwa eneo la mkasa mbaya zaidi kuwahi kuikumba soka ya nchi hiyo.

View Article


Mauwaji ya Waasi kaskazini ya Mali

Jumuia ya kimataifa imelaani vikali mauwaji ya kinyama yaliyofanywa na waasi wa Touareg kaskazini mwa jamhuri ya Mali.Mapigano katika eneo hilo yamepelekea maelfu ya watu kuyapa kisogo maskani yao.

View Article

Kenia: Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa

Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa Afrika Mashariki linalojumuisha wanafunzi wa shule za upili na vyuo vikuu kutoka mataifa 195 wanachama wa Umoja wa Mataifa limefunguliwa leo hapa Nairobi.

View Article

Mkopo kwa Ugiriki bado una vizingiti

Ugiriki imesema bado inakabiliwa na changamoto kubwa kushawishi Umoja wa Ulaya na Shirika la Fedha Ulimwenguni, IMF, kuipatia mkopo mwingine wa kunusuru uchumi wake na kitisho cha kufilisika.

View Article


Pillay alaani ghasia Syria

Mkuu wa kamisheni ya kutetea haki za binaadam wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay amemshutumu rais wa Syria Bashar Al Assad kwa kuanzisha mashambulizi makali dhidi ya upinzani unaodai demokrasia.

View Article

February 13-kumbu kumbu za siku Dresden iliposhambuliwa

Madege yanchi shirika zilizopigana vita dhidi ya Ujerumani ya wanazi yaliuteketeza mji wa Dresden muda mfupi kabla ya vita vikuu vya pili kumalizika mwaka 1945.

View Article

Wahariri wasema Ugiriki itoke Umoja wa Euro

Wahariri wa magazeti leo wanauzungumzia mgogoro wa Ugiriki na mkasa wa kushambuliwa afisa wa kibalozi wa Israel nchini India.Wahariri wanasema itakuwa bora kwa Ugiriki kujitenga na Umoja wa Ulaya.

View Article


China yasema iko tayari kuusadia Umoja wa Ulaya

Kwenye mkutano kati ya China na Umoja wa Ulaya unaofanyika mjini Beijing, waziri mkuu wa China, Wen Jiabao, ameahidi kuusadia umoja huo kutatua tatizo la madeni bila kutoa maelezo ya kina kuhusu msaada...

View Article


Mapigano katika mji wa Beni,DRC

Katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, kulizuka mapigano alfajiri ya leo (15.02.2012) katika mji wa Beni, uliyoko kwenye mkoa wa Kivu ya kaskazini.

View Article

Mkutano wa siku mbili kuhusu Somalia

Serikali ya mpito na Somalia na mashirika kadhaa ya huduma za jamii wanakutana kuzungumzia jinsi ya kujumuishwa koo za nchi hiyo katika serikali mpya huku wakinamama wakidai wabebeshwe jukumu kubwa...

View Article

Bomba la mafuta lalipuliwa Homs

Nchini Syria kumefanyika hujuma kwenye bomba la mafuta na kusababisha moto mkubwa katika mji wa Homs ambao kwa wiki mbili zilizopita umeshuhudia kiwango kikubwa cha ghasia na operesheni za jeshi la...

View Article

Mwanamuziki Whitney Houston afariki

Mwanamuziki mashuhuri wa Marekani Whitney Houston amefariki dunia. Polisi katika mji wa Los Angeles nchini Marekani wamesema Whitney (48), amekutwa amekufa katika hoteli ya Beverly Hills.

View Article


Vikosi vya Syria vyaendeleza mashambulizi dhidi ya wapinzani

Vikosi vya Syria vimeushambulia mji wa Deraa hii leo katika juhudi za kujaribu kuwachakaza wanajeshi walioasi katika mji huo ambamo upinzani dhidi ya rais wa nchi hiyo, Bashar al Assad, ulianza Machi...

View Article

Juhudi zaidi kupambana na Al Shabaab zahitajika

Kundi la Kimataifa linaloshughulikia migogoro linasema ni lazima Kenya itafute mikakati maalum ya kushirikiana na Jamii ya Kimataifa katika kupambana na kundi hilo.

View Article


Sarkozy atangaza kugombea tena

Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ametangaza kuwa atagombea kipindi kingine cha Urais wakati ambapo kura za maoni zinaonyesha kuwa yupo nyuma ya mgombea wa chama cha upinzani Francois Hollande

View Article

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa lapitisha azimio dhidi ya Syria

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotaka ukandamizaji nchini Syria ukome mara moja. Azimio linamtaka rais wa Syria, Bashar al Assad aondoke madarakani.

View Article


Walibya waadhimisha mwaka mmoja wa kumng´oa Gaddafi

Libya yaadhimisha mwaka mmoja tangu kuangushwa kwa utawala wa Muamer Gadhafi kwa kufyatua baruti na kutembeza mabango mitaani, wakati kiongozi wao mpya akiapa kulinda amani na utulivu.

View Article

Rais wa shirikisho Christian Wulff ajiuzulu

Pendekezo la mwendesha mashtaka mkuu wa jiji la Hannover kutaka rais Wulff apokonywe kinga yake ya kutoandamwa ndilo lililomaliza udhia .

View Article

Rais Wulff wa Ujerumani ajiuzulu

Rais wa Ujerumani Christian Wulff amejiuzulu. Kiongozi huyo amekuwa akikabiliwa na kashfa ya kupokea mkopo wa fedha katika njia ambazo si halali, na uungwaji mkono kwake umeshuka sana.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live