Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Kenia: Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa

$
0
0
Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa Afrika Mashariki linalojumuisha wanafunzi wa shule za upili na vyuo vikuu kutoka mataifa 195 wanachama wa Umoja wa Mataifa limefunguliwa leo hapa Nairobi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles