Quantcast
Channel: DW Kiswahili
↧

Tanzia: Mohamed Abdulrahman, safari iliyowacha alama

Mohamed Abdulrahman, aliyekuwa mhariri na naibu msaidizi wa mkuu wa DW Kiswahili, amefariki dunia nyumbani kwake mjini Cologne akiwacha nyuma yake alama isiyofutika kwenye tasnia ya uandishi wa habari.

View Article


WTO yalenga mageuzi kwa biashara huru na maamuzi rahisi

Shirika la Biashara Duniani (WTO) linashinikiza mageuzi makubwa ili kuondoa mkwamo wa muda mrefu wa maamuzi, huku nchi kama Marekani, China na India zikivutana kuhusu upendeleo wa kibiashara.

View Article


Urusi huenda ikawekewa vikwazo iwapo haitoridhia masharti ya Marekani kuhusu...

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza msaada mpya wa silaha kwa Ukraine na kutishia kuiwekea vikwazo vya ziada Urusi iwapo haitakubali mkataba wa amani ndani ya siku 50.

View Article

Wasichana waliopata ujauzito kuendelea na shule Kongo

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Wizara ya elimu imechukua hatua ambayo inaamuru wasichana wajawazito wasifukuzwe tena shuleni, hatua iliyozua hisia mseto miongoni mwa Wakongo.

View Article

Trump na Ikulu ya Marekani wakalia kuti kavu sakata la Epstein

Sakata la Jeffrey Epstein limemuweka Rais Doanld Trump katika kona ngumu kisiasa! Baada ya kufuta ahadi ya kufichua mafaili ya kesi hiyo, wafuasi wa MAGA wamelipuka kwa hasira. Je, Trump ataweza...

View Article


Rais Samia awa mgombea wa urais wa CCM

Rais Samia awa mgombea wa urais wa CCM

View Article

Joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani limeanza kupanda nchini...

Joto la Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani limeanza kupanda nchini Tanzania, huku Chama cha Mapinduzi CCM kikifunga rasmi pazia la kuchukua fomu kwa ajili ya kuomba kuteuliwa kuwania nafasi hizo.

View Article

CCM yasema kujiuzulu kwa Polepole ni utashi wake

Chama cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania, kimetoa kauli yake kufuatia kujiuzulu kwa Humprey Polepole katika nafasi ya ubalozi wa Tanzania nchini Cuba, amesema amejiuzulu baada ya kushuhudia mambo...

View Article


Miaka 100 ya "Mein Kampf" ya Hitler

Miaka mia moja tangu Adolf Hitler achapishe andiko lake la chuki la "Mein Kampf" au "Mapambano Yangu" Julai 18 1925, athari zake bado zinasikika – si tu katika historia, bali hata kwenye mitandao ya...

View Article


Transparency International: Polisi wa Kenya wanaongoza kwa kula rushwa

Idara ya polisi ya Kenya imeongoza kwa ufisadi nchini humo kwa kupata alama ya kutisha ya wastani wa 84 kati ya 100 kulingana na ripoti mpya ya shirika la kupambana na ufisadi ulimwenguni, Transparency...

View Article

Uingereza na Ujerumani wasaini mkataba wa kuimarisha ulinzi

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz wametia saini mkataba wa kihistoria unaolenga kuimarisha ushirikiano wa ulinzi.

View Article

Polepole akosoa uteuzi wa wagombea urais, CCM

Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole amekosoa vikali jinsi chama tawala cha Mapinduzi, CCM, kilivyokiuka utaratibu kwa kumpitisha mgombea urais wa Tanzania na Zanzibar.

View Article

Vikosi vya Syria vyarejea kwenye mji wa Sweida, machafuko yakizidi kuongezeka

Vikosi vya Syria vimerejea kwenye vitongoji vya mji wa Sweida huku machafuko yakiendelea katika vijiji vya mji huo. Takriban watu 500 wameuwawa kufuatia mapigano yaliyozuka kati ya makabila ya Bedui na...

View Article


Upinzani wapuuza wito wa mazungumzo ya amani Sudan Kusini

Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan Kusini kimekataa wito wa Rais Salva Kiir wa kuanzisha mazungumzo ya kitaifa ili kuzuia nchi hiyo kurejea katika vita vya wenyewe kwa wenyewe.

View Article

Euro: Uswisi ina kibarua kigumu dhidi ya Uhispania

Beki wa Aston Villa Noelle Maritz amesema anaamini kwamba mashabiki wa nyumbani watakuwa chachu muhimu kwa timu ya taifa ya wanawake ya Uswisi katika juhudi zao za kuiondoa Uhispania.

View Article


Papa Leo XIV asistiza umuhimu wa kulinda maeneo ya ibada

Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, amesisitiza umuhimu wa kuyalinda maeneo ya ibada katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.

View Article

Vikosi vya serikali ya Syria vyajiandaa kurejea Sweida

Mapigano mapya yamezuka kati ya wanamgambo wa jamii ya Druze na wale wa Kibedui kusini mwa Syria, huku majeshi ya serikali yakijiandaa kurejea tena eneo hilo.

View Article


Urusi yapuuzilia mbali vikwazo vipya vya EU

Umoja wa Ulaya umeidhinisha duru nyingine ya vikwazo dhidi ya Urusi kuhusiana na vita vyake Ukraine. Moscow imepuuzilia mbali athari ya vikwazo hivyo kwenye uchumi wake, ikisema kuwa ni haramu na...

View Article

Kremlin: Vitisho vya Trump havizuii mazungumzo na Ukraine

Kremlin imesema kuwa haioni msimamo mkali wa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu vita vya Ukraine kama mwisho wa mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Moscow na Washington.

View Article