Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Pillay alaani ghasia Syria

$
0
0
Mkuu wa kamisheni ya kutetea haki za binaadam wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay amemshutumu rais wa Syria Bashar Al Assad kwa kuanzisha mashambulizi makali dhidi ya upinzani unaodai demokrasia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles