Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Vikosi vya Syria vyaendeleza mashambulizi dhidi ya wapinzani

$
0
0
Vikosi vya Syria vimeushambulia mji wa Deraa hii leo katika juhudi za kujaribu kuwachakaza wanajeshi walioasi katika mji huo ambamo upinzani dhidi ya rais wa nchi hiyo, Bashar al Assad, ulianza Machi mwaka jana.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles