Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 29403 articles
Browse latest View live
↧

Zambia na Cote d'ivoire kuumana katika fainali

'Chipolopolo' wa Zambia na 'The Elephants ' wa Cote d'ivoire ndio watakaokutana katika fainali ya kombe la mataifa ya bara la Afrika baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali.

View Article


Tanzania: Matokeo ya Mtihani kidato cha Nne

Baraza la Mtihani la Taifa nchini Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika mwaka jana.

View Article


Muafaka washindikana Ugiriki

Mazungumzo ya wanasiasa nchini Ugiriki yamemalizika bila muafaka juu ya mageuzi na hatua za kubana matumizi, ambavyo viliwekwa na wakopeshaji kama sharti la kupewa mkopo mpya wa kuinusuru nchi hiyo...

View Article

Rais wa zamani wa Maldives kukamatwa?

Mahakama ya Maldives imetoa waranti wa kuwezesha kukamatwa kwa aliekuwa rais wa visiwa hivyo, Mohammed Nasheed, pamoja na aliyekuwa waziri wake wa ulinzi huku jeshi likitumwa katika mji wenye machafuko...

View Article

Israel yaonya silaha za Syria kuangukia Hizbullah

Watu 31 wameuwawa Syria baada ya vikosi vya Jeshi la Rais Bashar al- Assad kuushambulia mji wa Homs, huku Israel ikionya juu ya uwezekano wa silaha za Syria kupelekwa kwa kundi la Hizbullah la Lebanon.

View Article


Mkopo kwa Ugiriki bado uko mbali

Mataifa ya eneo la euro yanataka kuendelea kutoa msaada kwa Ugiriki lakini kwanza ni pale tu nchi hiyo ambayo imezongwa na madeni itakapopiga hatua ya kutimiza masharti yote yanayotakiwa na Umoja wa...

View Article

Somalia: Al Shabab yajiunga na Al Qaeda

Huenda visa vya kigaidi vikaongezeka duniani kufuatia kundi la Al Qaeda kutangaza wazi kwamba kundi la waasi nchini Somalia Al shabaab limejiunga rasmi na wanamgambo hao wa kigaidi.

View Article

Madaktari warejea kazini Tanzania

Mgomo wa madaktari nchini Tanzania, mbao umedumu kwa zaidi ya wiki mbili sasa hatimae umemalizika na madaktari hao kuanza kazi leo hii

View Article


Ukeketaji wa wanawake ni kinyume na maumbile

View Article


Kutoka mlinzi wa rais hadi mkimbizi

Ni shida kwa mwanaadamu anapokuwa kwenye kilele cha mafanikio ya kawaida, kuamini kwamba anaweza mara moja kujikuta akiwa ameanguka chini akiwa amepoteza kila kitu maishani, akiwa katikati ya mateso na...

View Article

"Ukimwi wasahaulika DRC"

Shirika la Madaktari Wasiokuwa na Mipaka linasema katika ripoti yake ya mwaka huu kwamba Ukimwi ni ugonjwa uliosahaulika kabisa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo licha ya kuwapo watu wengi...

View Article

Vijana, mazingira na dunia ya kesho

Uchafuzi wa mazingira unatishia sio tu usalama wa afya kwa wakati tulionao, bali pia mustakabali wa sayari ya dunia kwa miaka ijayo, ambapo kizazi kijacho kitajikuta kimekosa mahala salama pa...

View Article

Westerwelle atangaza sera mpya ya Ujerumani

Magazeti ya Ujerumani yameandika juu ya kukamatwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani nchini Kongo Jacquemain Shabani. Pia yameandika juu ya mvutano wa kisiasa nchini Senegal baada ya Rais Wade...

View Article


Watu 28 wauwawa katika shambulio la bomu Syria

Mabomu mawili yaliyotegwa katika magari yakilenga vituo vya usalama katika mji wa Aleppo yameuwa kiasi watu 28, huku waasi wakiishutumu serikali ya nchi hiyo kwa kuanzisha mashambulizi ili kuepuka lawama.

View Article

Afrika Wiki Hii: Madaktari wa Tanzania wasitisha mgomo wao

Bara la Afrika katika kipindi cha wiki iliyopita, limeshuhudia mgomo wa madaktari nchini Tanzania ukikuwa na kumalizika, muswada wa mashoga nchini Uganda ukipigwa danadana na nchini Burundi...

View Article


Mwanamuziki Whitney Houston afariki

Mwanamuziki mashuhuri wa nchini Marekani Whitney Houston ameaga dunia. Polisi mjini Los Angeles wamesema Whitney ambaye alikuwa na umri wa miaka 48, amekutwa amekufa katika hoteli iliyopo mtaa wa...

View Article

Ugiriki yaidhinisha hatua za kubana matumizi

Bunge la Ugiriki limeidhinisha hatua kali za kupunguza matumizi ya serikali katika juhudi ya kudhibiti uchumi wake unaoelekea kuporomoka.

View Article


Jeshi la Syria laanza tena kuushambulia mji wa Homs

Majeshi ya Syria leo hii yameanza tena kuushambuliwa mji wa maandamani wa Homs, baada ya serikali ya nchi hiyo kukataa mpango wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wa kutaka kupelekwa vikosi vya kulinda amani...

View Article

Ugiriki yaidhinisha hatua za kubana matumizi

Bunge la Ugiriki limeidhinisha hatua kali za kupunguza matumizi ya serikali katika juhudi ya kudhibiti uchumi wake unaoelekea kuporomoka.

View Article

Mwanamuziki Whitney Houston afariki

Mwanamuziki mashuhuri wa Marekani Whitney Houston amefariki dunia. Polisi katika mji wa Los Angeles wamesema Whitney ambaye alikuwa na umri wa miaka 48, amekutwa amekufa katika hoteli ya Beverly Hills...

View Article
Browsing all 29403 articles
Browse latest View live