Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28167

Zambia ndio mabingwa wa soka barani Afrika

$
0
0
Zambia imeshinda taji lao la kwanza la mataifa ya bara la Afrika mjini Libreville, mji ambao miaka 19 iliyopita umekuwa eneo la mkasa mbaya zaidi kuwahi kuikumba soka ya nchi hiyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28167

Trending Articles