Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28704 articles
Browse latest View live

Dortmund yashindwa kupanda nafasi ya tatu

Borussia Dortmund walipoteza fursa ya kupanda hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Bundesliga wakati kocha Thomas Tuchel akikabiliwa na kibarua kikali dhidi ya timu yake za zamani Mainz

View Article


Real Madrid yajiimarisha kileleni Uhispania

Ilikuwa ni wikendi ya furaha tele mjini Madrid na hasa kwa klabu ya Real Madrid, maana wapinzani wake wote wa karibu waliangusha pointi katika michuano ya kinyang'nyiro cha La Liga

View Article


Mahamat rais mpya wa halmashauri kuu ya AU

Umoja wa Afrika umepata rais mpya wa halmashauri kuu ya Umoja huo. Naye ni waziri wa mambo ya nchi za nje wa Chad, Moussa Faki Mahamat, aliyechaguliwa kwa  kura 39 kati ya 54 za nchi wanachama.

View Article

Trump amfuta kazi Mwanasheria Mkuu

Rais wa Marekani Donald Trump amemfukuza kazi Kaimu Mwanasheria Mkuu nchini humo Sally Yates ambaye aliwaagiza watumishi wa idara hiyo kutofanyia kazi agizo la kuzuia wasafiri wanaotokea mataifa saba...

View Article

Madaktari Kenya wapewa siku 5 waache kugoma

Mahakama ya Kenya siku ya Alhamisi (26.01.2017) imewapa madaktari na wauguzi siku 5 kumaliza mgomo wao. Hatua hiyo inabadili msimamo wa awali wa serikali kutishia kuwatupa gerezani maafisa wa chama cha...

View Article


Waasi wa zamani Cote d'Ivoire wapandishwa vyeo

Rais wa Cote d'Ivoire amewapandisha vyeo makamanda wawili wa zamani wa waasi waliounga mkono upande wa serikali katika mazungumzo ya kuzima uasi wa wanajeshi mapema mwezi Januari.

View Article

Polisi Ujerumani yawatia mbaroni washukiwa wa ugaidi

Polisi nchini Ujerumani imewakamata watu watatu wakihusishwa na  kundi la itikadi kali linalojiita Dola la Kiislamu. Ni katika harakati zinazoendelea kuwagundua wanaopanga njama za kufanya mashambulio.

View Article

AU yaidhinisha mkakati wa kujitoa katika ICC

Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika - AU, wameidhinisha kile kinachoitwa wito wa mkakati  wa hatua ya pamoja ya kujitoa katika mahakama ya uhalifu ya kimataifa- ICC

View Article


Athari za kimazingira Ziwa Tanganyika

Shughuli za kibinadamu ni miongoni mwa kitisho chenye kuathiri ziwa hilo la pili kwa ukubwa Afrika lenye viumbe na mimea zaidi ya 1,500 ambavyo zaidi ya asilimia 40 havipatikani kwingine popote duniani.

View Article


Trump apindua wezani wa korti kuu ya Marekani

Donald Trump amemteuwa jaji Neil Gorsuch kuwa mjumbe wa korti kuu na kuwapa Republican fursa ya kuidhibiti taasisi hiyo muhimu . Maamuzi ya rais mpya wa Marekani yanaonyesha kuungwa mkono na wananchi...

View Article

Mapigano yaibuka upya Ukraine

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limetoa mwito wa kusitishwa mapigano mara moja nchini Ukaraine ambako ghasia mpya zilizoibuka katika kipindi cha siku tatu zimeuwa watu 13.

View Article

Burkina Faso na Misri kupambana nusu fainali AFCON

Mashindano ya kandanda ya Kombe la mataifa ya Afrika, fainali zinazofanyika nchini Gabon, yanaingia hatua ya nusu fainali ambapo Jumatano usiku Burkina Faso itamenyana na miamba ya kaskazini Misri...

View Article

Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kuizuru Uturuki (02.02.2016) ikiwa ni...

Ni ziara nyeti wakati Kansela Angela Merkel wa Ujerumani atakapoizuru Uturuki Alhamisi ikiwa ni ziara ya kwanzal tokea nchi hiyo ilipozima jaribio la mapinduzi.

View Article


Kansela Merkel kuizuru Uturuki

Ni ziara nyeti wakati Kansela Angela Merkel wa Ujerumani atakapoizuru Uturuki Alhamisi ikiwa ni ziara ya kwanzal tokea nchi hiyo ilipozima jaribio la mapinduzi.

View Article

Kiongozi mkuu wa upinzani Congo Etienne Tshisekedi afariki

Kiongozi mkuu wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Etienne Tshisekedi, ameaga dunia Jumatano (01.02.2017) mjini Brussels, Ubelgiji, akiwa na umri wa miaka 84.

View Article


Wacongo waomboleza kifo cha Tshisekedi

Etienne Tshisekedi, kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amefariki dunia akiwa na miaka 84. Saleh Mwanamilongo amezungumza na wakazi wa Kinshasa kusikia wanachosema kuhusu kifo chake.

View Article

Sigmar Gabriel azuru Marekani

Waziri wa Mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel amesema atawasilisha ujumbe wa kirafiki nchini Marekani wakati atakapozuru nchini humo hii leo (02.02.2017)

View Article


Misri yatinga fainali AFCON

Nusu fainali  ya  kwanza  ya  fainali  za  kombe  la  mataifa  ya  Afrika  AFCON imekamilika  kwa  Mafarao  wa  Misri  kuingia  katika  fainali  kwa  kuitoa  nje  ya  mashindano  hayo  Burkina Faso.

View Article

Mapendekezo ya Trump yaendelea kupingwa na Baraza la Seneti

Rais wa Marekani, Donald Trump, amefanikiwa pale Rex Tillerson, alipoidhinishwa kuwa waziri wa mambo ya nje. Lakini bado anakabiliana na upinzani mkali, ikiwamo pendekezo lake la Jaji wa Mahakama Kuu...

View Article

Trump afuta misaada kwa wanaotoa mimba

Maelfu ya wanawake watafariki dunia kutokana na utoaji mimba usio salama. Yote hayo yatatokana na uamuzi wa Rais Donald Trump kufuta ufadhili wa Marekani kwa makundi yanayosaidia wanawake kutoa mimba.

View Article
Browsing all 28704 articles
Browse latest View live