Wahanga wa 'Holocaust' wakumbukwa
Tarehe 27 Januari ni siku ya kuwakumbuka wahanga wa mauaji makubwa ya kimbari dhidi ya wayahudi yaliofanywa na utawala wa Adolf Hitler, kutokana na sera yake aliyoiita ya uzalendo wa Kisoshalisti.
View ArticleOdinga adai njama ya wizi wa kura uchaguzi mkuu Kenya
Miezi saba kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya, kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameituhumu serikali ya Jubilee kwa kuendeleza ufisadi wa hali ya juu na kupanga njama ya kuiba kura...
View ArticleWaasi wa zamani Cote di'Voire wapandishwa vyeo
Rais wa Cote di'Voire amewapandisha vyeo makamanda wawili wa zamani wa waasi waliounga mkono upande wa serikali katika mazungumzo ya kuzima uasi wa wanajeshi mapema mwezi Januari.
View ArticleWatoto milioni 6 wakabiliwa na njaa pembe ya Afrika
Watoto milioni 6.5 wanakabiliwa na kitisho cha njaa, utapiamlo na kifo katika maeneo katia mataifa ya Somalia, Ethiopia na Kenya, limesema shirika la hisani wakati ambapo mvua za machipukopia...
View ArticleTrump, May kujadili mahusiano ya nchi zao
Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May, anatarajiwa kukutana na Rais wa Marekani, Donald Trump, Ijumaa (27.01.2017) ikiwa ni mkutano rasmi wa kwanza kwa Trump kufanya na kiongozi wa kigeni tangu...
View ArticleMsichana wa miaka 16 kuhukumiwa Ujerumani
Kifungo cha miaka sita chapendekezwa kwa kumchoma kisu afisa mmoja wa polisi mnamo mwezi Februari mwaka uliopita. Safia adaiwa kufanya kosa hilo baada ya kupokea maagizo kutoka kwenye kundi la kigaidi...
View ArticleEU yahimiza muafaka kuhusu uhamiaji
Chini ya sheria za sasa za Dublin, wanaotafuta hifadhi katika nchi za Umoja wa Ulaya, wanapaswa kurejeshwa katika nchi ambazo walifikia kwanza.
View ArticleMiaka 72 ya mauaji ya Holocaust
Ijumaa ni suku ya kimataifa ya kuwakumbuka wahanga wa mauaji ya Kimbari-Holocaust, yaliofanywa na utawala wa Wanazi wakati wa vita vya pili vya Dunia. Wakati wa utawala huo wa, Adolf Hitler, watu...
View ArticleTrump asitisha mpango wa wakimbizi Marekani
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini agizo la rais la kusitisha kwa miezi 4 mpango wa kuwaruhusu wakimbizi Marekani na kuwazuia kwa muda wageni kutoka Syria na nchi nyingine sita za Kiislamu...
View ArticleUjerumani na Ufaransa kukabiliana na mizozo ya nje kwa msimamo mmoja
Waziri wa mambo wa nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel na mwenzake wa Ufaransa Jaen -Marc Ayrault watashirikiana kwa karibu katika masuala kuhusu Urusi,Uraine na na ushirikiano wao kwa Marekani..
View ArticleAgizo la Trump lawaathiri mamia ya wasafiri
Agizo la Rais wa Marekani Donald Trump la kusitisha mpango wa wakimbizi na kuwazuia wasafiri kutoka mataifa saba ya Kiislamu kuingia Marekani yamesababisha ghadhabu na hali ya sintofahamu.
View ArticleSchulz kupambana na ukosefu wa usawa Ujerumani
Rais wa zamani wa bunge Ulaya Martin Schulz ameteuliwa kukiongoza chama cha Social Demokratik katika jaribio lao la kumuondowa madarakani Kansela Angela Merkel
View ArticleMke wa mgombea urais alipwa euro 600,000
Mke wa mgombea urais wa Ufaransa anayeongoza, Francois Fillon, anatuhumiwa kupokea euro 600,000 kwa ajira ambayo kamwe hajawahi kuifanyia kazi
View ArticleOdinga adai njama ya wizi wa kura Kenya
Miezi saba kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya, kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameituhumu serikali ya Jubilee kwa kuendeleza ufisadi wa hali ya juu na kupanga njama ya kuiba kura...
View ArticleEALA yapitisha sheria dhidi ya ukeketaji
Bunge la Afrika Mashariki lililoendehsa vikao vyaka kwa wiki mbili mjini Kampala limepitisha sheria ya kupiga marufu ukeketaji. Pia bunge hilo limekubali kujadili miswada mingine ukiwemo wa ulinzi wa...
View ArticleMaelfu waandamana kupinga amri ya Trump
Amri iliyojaa utata iliyotolewa na Rais Donald Trump ya kupiga marufuku wasafiri kutoka nchi saba za kiislamu kuingia nchini Marekani imeibua hasira na maandamano makubwa nchini humo.
View ArticleUmoja wa Afrika kumchagua mwenyekiti mpya
Viongozi wa Umoja wa Afrika leo kufikia maamuzi magumu juu ya Morocco kujiunga tena na jumuiya hiyo. Waziri wa mambo ya nje wa Kenya apigiwa upatu kuchukua uenyekiti wa AU katika uchaguzi utakao...
View ArticleVolkswagen yaipiku Toyota mauzo ya magari duniani
Kampuni ya magari ya Ujerumani Volkswagen iliuza magari mengi zaidi duniani kuliko mshindani wake wa Japan Toyota mwaka 2016, na kushinda taji la kampuni kubwa zaidi ya utengenezaji magari kwa mara ya...
View ArticleBenoit Hamon kuwania urais Ufaransa kwa tiketi ya Wasoshalisti
Chama cha Kisoshalisti nchini Ufaransa kimemchagua mwanasiasa Benoit Hamon kuwa mgombea wa chama hicho katika kinyanganyiro cha kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka...
View ArticleMaoni ya Wahariri wa Magazeti ya Ujerumani
Amri iliyotolewa na Trump kuwapiga marufuku raia kutoka nchi saba wasiingie nchini humo, na uteuzi wa Martin Schulz kugombea ukansela wa Ujerumani, ni mada zilizohanikiza katika magazeti ya Ujerumani...
View Article