Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28713

Odinga adai njama ya wizi wa kura uchaguzi mkuu Kenya

$
0
0
Miezi saba kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya, kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameituhumu serikali ya Jubilee kwa kuendeleza ufisadi wa hali ya juu na kupanga njama ya kuiba kura kwenye uchaguzi huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28713

Trending Articles