Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28721

Mahamat rais mpya wa halmashauri kuu ya AU

$
0
0
Umoja wa Afrika umepata rais mpya wa halmashauri kuu ya Umoja huo. Naye ni waziri wa mambo ya nchi za nje wa Chad, Moussa Faki Mahamat, aliyechaguliwa kwa  kura 39 kati ya 54 za nchi wanachama.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28721

Trending Articles