Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28826

Trump afuta misaada kwa wanaotoa mimba

$
0
0
Maelfu ya wanawake watafariki dunia kutokana na utoaji mimba usio salama. Yote hayo yatatokana na uamuzi wa Rais Donald Trump kufuta ufadhili wa Marekani kwa makundi yanayosaidia wanawake kutoa mimba.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28826

Trending Articles