Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Assad asisitiza hatajiuzulu

Rais wa Syria Bashar al Assad amesisitiza kuwa hatajiuzulu kabla ya mwisho wa kipindi chake madaraka mwaka 2014, wakati bomu lililotegwa katika gari liua watu watatu katika mji mkuu Damascus.

View Article


Makabiliano makali yaendelea Qusayr, Syria

Wapiganaji 30 wa kundi la wanamgambo la Hezbollah wanaripotiwa kuuwawa katika mapigano yaliyotokea katika mji wa Qusayr nchini Syria huku wengine zaidi ya 70 wakijeruhiwa.

View Article


Waziri mkuu mpya wa China Li Keqiang ziarani India

Waziri mkuu mpya wa china Li Keqiang ameichagua India kuwa kituo cha kwanza cha ziara yake nchi za nje na kuahidi kurejesha hali ya kuaminiana kati ya Beijing na New-Delhi.

View Article

Schalke wakamata nne, Düsseldorf watimuliwa

Ilikuwa siku ya mwisho yenye kizaazaa katika msimu wa kuadhimisha mwaka wa 50 wa Bundesliga wakati vita vya kucheza Ulaya na vita vya kupambana kuepuka kushushwa daraja vikiamuliwa

View Article

Kimbunga chaua 91 Oklahoma

Kimbunga kikubwa kilichoukumba mji wa Oklahoma nchini Marekani kimeuwa watu 91 wakiwemo watoto 20. Maafa makubwa yametokea katika kitongoji cha Moore, ambacho kimepitiwa na upepo unaosafiri kwa kasi ya...

View Article


Vita vya dola na vyombo vya habari nchini Uganda

Polisi nchini Uganda bado wamezingira kwa siku ya pili ofisi za baadhi ya vyombo vya habari vikuu nchini Uganda.

View Article

Syria na Kasheshe ya ndege bila ya rubani magazetini

Hali nchini Syria,kishindo cha ndege inayorushwa bila ya rubani na kashfa ya kupendeleana katika chama cha CSU ni miongoni mwa mada zilizogonga vichwa vya habari vya magazeti ya Ujerumani.

View Article

Obama kuizuru Afrika, Kenya haimo katika ratiba

Rais Barack Obama wa Marekani anatarajiwa kufanya ziara barani Afrika mwezi ujao, ambayo itamfikisha katika nchi za Senegal, Afrika Kusini na Tanzania, lakini nchi yake ya asili Kenya haimo katika ratiba.

View Article


Mabaki ya Silaha za Libya bado ni tishio katika ukanda huo.

Umoja wa mataifa umesema vikosi vyenye silaha katika Jamhuri ya Afrika ya Kati,vinatumia silaha ambazo zinadhaniwa ni mabaki ya silahi zilizotumika Libya mwaka 2011,kuuwa tembo kwa ajili ya biashara ya...

View Article


Sekta ya mafuta Uganda kwenye kashfa nzito

Hata kabla ya uchimbaji wa mafuta kuanza, sekta ya mafuta nchini Uganda imekumbwa na madai ya hongo dhidi ya maafisa wa serikali, kesi zinazohusiana na kodi nje ya nchi, ambazo zinaigharimu serikali...

View Article

Ban Ki-moon aanza ziara Maziwa Makuu

Benki Kuu ya Dunia itatoa dola bilioni 1 kusaidia maendeleo ya eneo la maziwa makuu. Rais wa Benki hiyo Jim Yong Kim ameyasema hayo mjini Kinshasa alikowasili akiandamana na katibu mkuu wa Umoja wa...

View Article

Ripoti ya Tume ya Maridhiano yawataja Kenyatta, Ruto

Viongozi wa ngazi za juu nchini Kenya, wakiwemo Rais Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto, ni miongoni mwa waliopendekezwa kushtakiwa katika ripoti ya kushtusha iliyotolewa na Tume ya TJRC.

View Article

Shambulio la kigaidi London

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron leo ameitisha kikao cha dharura na wakuu wa kijasusi na kiusalama baada ya washambuliaji wawili kumuua mwanajeshi mmoja kwa kumkata kata kwa mapanga mjini London..

View Article


Miaka 150 ya chama cha SPD

Chama cha Kisoshalisti cha Ujerumani, SPD, Alhamisi kimesherehekea miaka 150 ya kuanzishwa kwake, huku Kansela Angela Merkel akitoa sifa kwa wapinzani wake hao, kwa kuwaita sauti ya demokrasia...

View Article

Ombi la Kenya kuhusu ICC lakataliwa na Umoja wa Mataifa

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelikataa ombi la Kenya la kutaka kufutiliwa mbali kwa kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto katika mahakama ya ICC kutokana na ghasia za...

View Article


Museveni ambadilisha mkuu wa majeshi kuwa waziri wa mambo ya ndani

Rais Yoweri Museveni wa Uganda amefanya mabadiliko ya ghafla katika safu za uongozi serikalini na jeshini kwa kumuondoa mkuu wa majeshi, Aronda Nyakairima, na kumpa nafasi ya uwaziri wa mambo ya ndani.

View Article

Mtwara bado hali tete

Hali mkoani Mtwara, kusini ya Tanzania, inaendelea kuwa ya wasiwasi kufuatia ghasia za hapo majuzi kupinga uamuzi wa serikali kutaka kujenga bomba la kusafirisha gesi kutoka eneo hilo kuelekea Dar es...

View Article


Umoja wa Afrika watimiza nusu karne

Umoja wa Afrika unatimiza miaka 50 tangu kuundwa kwake hapo tarehe 25 Mei 1963 kwa jina la Umoja wa Nchi Huru za Afrika kuongoza mapambano dhidi ya ukoloni na kumaliza utawala wa ubaguzi wa rangi...

View Article

Goma,Nigeria na Afrika kusini magazetini wiki hii

Mapigano Goma,kuzingirwa na jeshi,ngome ya wafuasi wa itikadi kali ya dini ya kiislam wa Nigeria- Maiduguri na mvutano kuhusu haki miliki ya jina la rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Nelson...

View Article

Wembley yawakaribisha Dortmund na Bayern

Makao ya soka ya Uingereza yanaukaribisha mngurumo wa sauti za Wajerumani Jumamosi wakati Bayern Munich wakikwaruzana na Borussia Dortmund katika uga wa Wembley. Nani atalileta kombe Ujerumani?

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live