Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Umoja wa Mataifa wakataa ombi la Kenya kuhusu ICC

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelikataa ombi la Kenya la kutaka kufutiliwa mbali kwa kesi dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto katika mahakama ya ICC kutokana na ghasia za...

View Article


"Suluhisho la Kiafrika kwa matatizo ya Afrika" lawezekana?

Umoja wa Afrika leo unaadhimisha miaka 50 ya kuanzishwa kwake ukihimiza kauli mbiu yake ya "Suluhisho la Afrika kwa matatizo ya Afrika", lakini ni wazi kuwa Umoja huo unakabiliwa na changamoto kadhaa...

View Article


Wanahabari wakandamizwa DRC

Shirika la wanahabari wasiokuwa na mipaka limeripoti kuwa maisha ya waandishi wa habari Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yamo hatarini na wanazuiliwa kuripoti kwa uhuru maeneo yanayodhibitiwa na kundi...

View Article

Matumaini ya muungano wa Afrika nzima miaka 50 ijayo

Terehe 25 Mei 1963, Mfalme Haile Selassie wa Ethiopia aliwaambia viongozi 31 wa Kiafrika katika uzinduzi rasmi wa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), kwamba "Afrika ipo nusu ya safari katikati ya jana...

View Article

Matumaini ya Afrika katika miaka 50 ijayo

Mataifa ya Afrika yanasherehekea miaka 50 tangu kuundwa kwa umoja wa nchi huru za Afrika , OAU, leo (25.05.2013)jumuiya iliyokusudiwa kuleta umoja wa bara hilo.

View Article


Lagarde aepuka kushtakiwa

Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa Christine Lagarde Ijumaa (24.05.2013) aepuka kufunguliwa mashtaka mara moja lakini ametajwa kuwa "shahidi msaidizi" baada ya waendesha mashtaka wa Ufaransa kumhoji...

View Article

Bayern Munich mabingwa Champions League

Baada ya kushinda ubingwa wa ligi ya Ujerumani, Bundesliga, kabla ya ligi hiyo kufikia mwisho na kuweka rekodi ya aina yake ya pointi, sasa Bayern Munich imetia kibindoni taji lake la tano la ubingwa...

View Article

Bunge lapitisha bajeti licha ya utata wa bomba la gesi Tanzania

Licha ya utata na machafuko yaliyozuka kutokana na mpango wa serikali ya Tanzania kujenga bomba la gesi kutoka Mtwara Dar es Salaam, bunge la nchi hiyo limepitisha bajeti ya wizara ya madini na nishati.

View Article


Mchakato wa kutafuta amani Syria

Juhudi za kimataifa za kuumaliza mzozo wa Syria zimeshika kasi huku kukitarajiwa mazungumzo muhimu mijini Brussels na Paris kutafuta ufumbuzi wa mzozo wa Syria licha ya kuwepo migawanyiko miongoni mwa...

View Article


Mapendekezo 9 ya Wazanzibar

Kamati ya Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar inayoongozwa na mwanasiasa mkongwe, Mzee Hassan Nassor Moyo, imeyataja mambo tisa ambayo yanastahili kujumuishwa katika katiba mpya ili kuondosha malalamiko...

View Article

Li Keqiang azuru Ujerumani kuimarisha ushirikiano

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameahidi kutumia ushawishi wa kiuchumi wa nchi yake, kuuzuia Umoja wa Ulaya usiziwekee vikwazo vya ushuru baadhi ya bidhaa zinazoagizwa kutoka China, ili kuepusha...

View Article

Waziri mkuu wa China atambelea Berlin

Ziara ya waziri mkuu wa China mjini Berlin, mtego wa ndege zisizokuwa na rubani, kampeni ya uchaguzi mkuu na fainali ya kombe la vilabu bingwa barani Ulaya Champions League ndizo mada zilizohanikiza...

View Article

Champions League: Mabingwa Bayern warejea nyumbani

Bayern Munich iliyotawazwa mabingwa wa msimu huu wa Bundesliga na mabingwa wa Ulaya,Champions League, warejea nyumbani bila shangwe kubwa na Borussia Dortmund makamu bingwa yapokelewa kwa shangwe na...

View Article


Ulaya yaondoa vikwazo vya silaha kwa waasi Syria

Mawaziri wa masuala ya nchi za nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuondoa vikwazo vya silaha kwa waasi wa Syria, huku wenzao wa Urusi na Marekani wakijadili mkutano wa kumaliza vita kwa njia ya...

View Article

Bayern warejea nyumbani

Bayern Munich iliyotawazwa mabingwa wa msimu huu wa Bundesliga na mabingwa wa Ulaya, Champions League, warejea nyumbani bila shangwe kubwa na Borussia Dortmund yapokelewa kwa shangwe na mashabiki 10,000.

View Article


Kongo yagawika pendekezo la Kikwete

Pendekezo la Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania kwa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo izungumze na makundi ya waasi na nchi jirani kutatua mzozo wa mashariki ya nchi hiyo linaonekana kuwagawa...

View Article

Al Bashir atishia kuizuwilia mafuta Juba

Vikosi vya serikali ya Sudan vimepigana na waasi wa Kordofan kusini.Rais Omar Hassan al Bashir ameionya serikali ya Juba,nchi yake itayafunga mabomba ya mafuta ikiwa Sudan Kusini itaendelea kuwaunga...

View Article


Maoni ya wahariri juu ya "silaha kwa waasi wa Syria"

Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya kimsingi wamekuabliana kundoa vikwazo vya silaha dhidi ya Syria.Maana ya hatua hiyo ni kwamba nchi za Umoja wa Ulaya zinaweza kuwapelekea silaha wapinzani wa...

View Article

Brazil kufuta madeni yake kwa nchi 12 za Afrika

Hatua ya serikali ya Brazil ya kufuta au kurekebisha madeni yake yenye thamani ya Dola milioni 900 kwa nchi 12 za Afrika,ni ishara ziada ya mikakati ya kuimarisha masilahi yake katika eneo linalonawiri...

View Article

Ethiopia yageuza mkondo wa mto Nile kuzalisha umeme

Ethiopia imeanza kutengeneza mkondo mpya wa maji ya mto Nile na kuyaelekeza maji hayo kwenye bwawa kubwa la umeme. Hatua hiyo imezipa wasiwasi Sudan na Misri ambazo zinategemea maji ya mto huo kwa...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live