Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live

Obama, Cameron wamshinikiza Putin kuhusu Syria

Marekani na Uingereza zimeongeza shinikizo kwa Urusi juu ya mgogoro wa Syria, lakini rais Barack Obama ameonya kuwa hakutakuwa na suluhisho la haraka la mgogoro huo, huku jeshi la Assad likipata...

View Article


Kenya: Maandamano ya kupinga nyongeza ya Mishahara kwa wabunge

Nchini Kenya hii leo tarehe 14.05.2013 kunafanyika maandamano ya amani ya kupinga nyongeza ya mishahara ya wabunge.

View Article


Musharraf kuendelea kuzuiliwa nyumbani

Mahakama ya kupambana na ugaidi nchini humo ikirefusha kwa siku 14 zaidi kifungo cha nyumbani cha aliyekuwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo Pervez Musharraf, kuhusiana na mauwaji ya Benazir Bhutto.

View Article

Maoni ya wahariri juu ya uchaguzi, Bulgaria na Pakistan

Wahariri wa magazeti ya Ujerumani wanazungumzia juu ya chaguzi za Pakistan na Bulgaria kutilia maanani kauli za viongozi wa Umoja wa Ulaya

View Article

Rais wa Nigeria atangaza hali ya hatari

Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari katika majimbo matatu nchini humo, na kuamrisha wanajeshi zaidi wapelekwe katika majimbo hayo ili kukabiliana na kundi la Kiislamu la Boko...

View Article


Umoja wa Mataifa kuidhinisha azimio la Syria

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kuidhinisha azimio linaloungwa mkono na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu likipendekeza kipindi cha mpito cha kisiasa nchini Syria

View Article

Ujenzi wa Mali bila ya amani?

Mkutano wa wafadhili juu ya Mali unaofanyika mjini Brussels unatarajiwa kuchangisha kiasi cha euro bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi mpya wa nchi hiyo, lakini kweli itawezekana kuijenga upya nchi hiyo bila...

View Article

Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la kumlaani Assad

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuulaani utawala wa rais Bashar al-Assad na kuusifia upinzani, lakini kiwango cha uungwaji mkono wa azimio hilo kimeshuka kulinganishwa na mwaka jana.

View Article


Polisi Uganda yatishia Waandishi

Polisi nchini Uganda imetishia kuwafungulia mashitaka mhariri na waandishi wawili wa gazeti la kibinafsi la Daily Monitor, kuhusiana na kuchapisha madai ya mwana wa rais Yoweri Museveni, kukirithi kiti...

View Article


Kimbunga Mahasen chafika kusini mwa Pwani ya Bangladesh

Kimbunga Mahasen leo kimelipiga eneo la kusini mwa pwani ya Bangladesh kwa mvua kubwa na upepo mkali, hali iliosababisha zaidi ya watu milioni moja kuhamishwa kutoka eneo hilo.

View Article

Maoni ya wahariri juu ya mshuko wa uchumi barani Ulaya,na juu ya Syria

Wahariri wanatoa maoni juu ya mshuko wa uchumi katika Ukanda wa sarafu ya Euro, na juu ya dhima ya Ulaya katika mgogoro wa Syria.Ufuatao ni muhtasari wa maoni hayo

View Article

Dunia yazidi kuisaka amani ya Syria

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, anakutana na Rais Vladimir Putin wa Urusi na Rais Barack Obama wa Marekani anafanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Uturuki, Tayyip Erdogan, juu ya Syria.

View Article

Maoni juu ya msaada wa Mabilioni kwa Mali

Mkutano wa wafadhili wa kimataifa juu ya Mali uliofanyika mjini Brussels mapema wiki hii ulikuwa wa mafanikio makubwa anasema mwandishi wetu Claus Stäcker katika maoni yake.

View Article


Juhudi za kukusanya misaada kwaajili ya Syria

Vita vinaendelea Syria na mashirika ya misaada yanapata shida kuendeleza shughuli zao hasa katika maeneo yanayodhibitiwa na serikali .Kuna ukosefu wa chakula ,maji na madawa.

View Article

Jeshi la Nigeria lashambulia shabaha za Boko Haram

Vikosi vya serikali vimeanza kuzishambulia ngome za wapiganaji wa Kiislamu kaskazini-mashariki mwa Nigeria, katika operesheni ya kurudisha maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa kundi la Boko Haram.

View Article


Dortmund yaionya Bayern kabla ya fainali

Zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya Fainali ya kukata na shoka ya Ligi ya Mabingwa Ulaya uwanjani Wembley jijini London, mengi yanaendelea kufanywa ikiwa ni sehemu ya matayarisho ya dimba hilo.

View Article

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Wiki hii magazeti ya Ujerumani yameandika juu ya mkutano wa kuchangisha fedha kwa ajili ya Mali, juu ya kodi kwa ajili ya maendeleo ya Afrika na pia yameandika juu ya ghasia zinazotokea nchini Nigeria

View Article


John Kerry kuzuru mashariki ya kati na Afrika

Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani John Kerry anatarajiwa kusafiri kwenda katika mataifa ya mashariki ya kati na Afrika kuanzia Jumanne ijayo kwa ziara itakayomchukua hadi Mei 27.

View Article

Jeshi la Nigeria limewaua wapiganaji wa Boko Haram

Ndege za kivita za Nigeria zimeshambulia kambi za wanamgambo wa Boko Haram kaskazini mashariki mwa nchi hiyo katika mapambano makubwa na kuzua onyo kali kutoka Marekani la kuheshimu haki za binadamu.

View Article

Ujerumani imeyakinisha urafiki na Israel

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Guido Westerwelle Ijumaa (17.05.2013) ameyakinisha urafiki wa nchi yake kwa Israel katika kipindi hiki chenye changamoto kubwa katika eneo hilo kutokana na mzozo wa...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live