Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Polisi Uganda yatishia Waandishi

$
0
0
Polisi nchini Uganda imetishia kuwafungulia mashitaka mhariri na waandishi wawili wa gazeti la kibinafsi la Daily Monitor, kuhusiana na kuchapisha madai ya mwana wa rais Yoweri Museveni, kukirithi kiti cha baba yake

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles