Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Museveni ambadilisha mkuu wa majeshi kuwa waziri wa mambo ya ndani

$
0
0
Rais Yoweri Museveni wa Uganda amefanya mabadiliko ya ghafla katika safu za uongozi serikalini na jeshini kwa kumuondoa mkuu wa majeshi, Aronda Nyakairima, na kumpa nafasi ya uwaziri wa mambo ya ndani.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 29403

Trending Articles