Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Ban Ki-moon aanza ziara Maziwa Makuu

$
0
0
Benki Kuu ya Dunia itatoa dola bilioni 1 kusaidia maendeleo ya eneo la maziwa makuu. Rais wa Benki hiyo Jim Yong Kim ameyasema hayo mjini Kinshasa alikowasili akiandamana na katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles