Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Mitandao ya kijamii kushiriki uchaguzi Zambia

Wakati Wazambia wanapiga kura tarehe 20 Septemba, watakuwa na timu ya waangalizi makini kufuatilia mchakato huo, kupitia mitandao ya kijamii, ambamo wanaweza kuripoti makosa na ukiukaji wa taratibu...

View Article


Nini taswira ya usalama wa baharini katika Afrika ya Mashariki?

Kutokana na kuzama kwa meli ya Spice Islander katika visiwa vya Zanzibar mwanzoni mwa mwezi Septemba 2011 kulikoua mamia ya watu, Maoni Mbele ya Meza ya Duara yanajadili usalama kwenye usafiri wa...

View Article


Afisa wa ngazi ya juu wa kanali Gaddafi atiwa mbaroni

Afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la aliyekuwa kiongozi wa Libya, kanali Muammar Gaddafi, amekamatwa kusini mwa nchi hiyo, huku viongozi wa baraza la mpito wakiendelea kuvutana kuhusu kuunda serikali mpya.

View Article

Mzozo wa Euro unahatarisha uchumi duniani

Italia imepata pigo baada ya shirika la Marekani la Standard & Poors linalotathmini iwapo serikali zinaaminiwa kupewa mikopo, kuamua kushusha kiwango cha uwezo wa Italia kuyalipa madeni yake.

View Article

Gul akutana na Merkel

Rais Abdullah Gul wa Uturuki ameendelea na ziara yake hii leo (20.09.2011) nchini Ujerumani kwa kumtembelea Kansela Angela Merkel kwenye makao yake makuu jijini Berlin, huku huko mjini Ankara kukitokea...

View Article


Baraza la Mpito la Libya kwenye mtihani

Kumudu kwa wafuasi wa Muammar Gaddafi kuendeleza mapambano dhidi ya vikosi vya Baraza la Mpito la Libya na kushindwa kwa Baraza hilo kuunda serikali hadi sasa ni jambo linalotoa picha mbaya kwa Baraza...

View Article

Rais wa zamani wa Afghanistan ameuawa

Burhanuddin Rabbani, ameuawa pamoja na walinzi wake wanne, katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa nyumbani kwake mjini Kabul hapo jana.

View Article

Vurugu zatanda uchaguzi Zambia

Zoezi la kuhesabu kura nchini Zambia limekumbwa na vurugu na tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya kiongozi wa upinzani, Michael Sata wa PF, na Rais Rupiah Banda wa chama...

View Article


Kifo cha Rabbani ni pigo kwa amani Afghanistan

Rais wa zamani wa Afghanistan, Burhanuddin Rabbani ameuawa katika shambulio la kujitoa mhanga lililofanywa nyumbani kwake hapo jana mjini Kabul.

View Article


Shirika la fedha la kimataifa laonya uchumi usizidi kuzorota

Picha ya kutisha ya shughuli za kiuchumi za dunia imetolewa na shirika la fedha la kimataifa muda mfupi kabla ya mkutano wake wa msimu wa mapukutiko kuanza kesho mjini Washington

View Article

Mapigano yamepamba moto nchini Yemen

Mapigano makali yameripuka leo mjini Sanaa licha ya mpango wa kuweka chini silaha ulioanza jana.Wimbi hili jipya la mapigano linahatarisha juhudi za kidiplomasia za kuumaliza mzozo wa Yemen

View Article

Hakuna njia ya mkato kupata amani Mashariki ya Kati

Rais wa Marekani Barack Obama amesema, hakuna njia ya mkato ya kupata amani katika Mashariki ya Kati. Obama alitamka hayo, alipokuwa akikihutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York .

View Article

Marekani yamnyonga Davis licha ya shinikizo la kimataifa

Licha ya shinikizo la kimataifa kupinga hukumu ya kifo dhidi ya Troy Davis, jimbo la Georgia nchini Marekani limemnyonga kijana huyo na kuzusha shutuma kubwa kutoka ulimwengu na wanaharakati wa haki za...

View Article


Rais Abbas adhamiria kuwasilisha ombi la Wapalestina

Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas anaazimia kuwasilisha ombi la kutaka taifa la Palestina kutambuliwa katika Umoja wa Mataifa, licha ya Rais wa Marekani Barack Obama kuonya kuwa...

View Article

Upinzani 'waongoza' uchaguzi Zambia

Wakati matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi nchini Zambia yakisubiriwa kwa hamu, Mahakama Kuu ya nchi hiyo imevizuwia vyombo huru vya habari kutangaza matokeo kabla ya kutolewa na Tume ya Uchaguzi.

View Article


Baba Mtakatifu aanza ziara yake Ujerumani

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, baba Mtakatifu Benedikt XVI hii leo ameanza ziara rasmi ya siku tatu hapa Ujerumani. Kiongozi huyo ameanza kuutembelea mji mkuu Berlin na baadaye atakwenda Erfuht...

View Article

Viongozi wa dunia wahutubia Umoja wa Mataifa

Viongozi mbalimbalai wameendelea kuhutubia kikao cha Baraza Kuu la Umoja mjini New York.

View Article


Papa atembelea mji wa kihistoria wa Erfurt

Leo hii (23.09.2011), Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Benedict XVI anatembelea mjin wa kihistoria wa Erfurt, ambako anaongoza misa maalum ya kanisa lake na makanisa ya kiinjili ya...

View Article

Michael Sata ni Rais mpya wa Zambia

Kiongozi wa upinzani Micheal Sata ametangazwa kuwa rais mpya wa Zambia mapema hii leo baada ya uchaguzi uliokumbwa na vurugu zilizosababisha vifo vya watu wawili.

View Article

Palestina imewasilisha ombi lake

Kiongozi wa Palestina Mahmoud Abbas amewasilisha hapo jana ombi rasmi mbele ya Umoja wa mataifa la kutaka eneo hilo kuwa mwanachama kamili wa Umoja huo pamoja na kutambuliwa kuwa taifa kamili

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live