Papa Benedikt XVI ashangiriwa Freiburg
Nchini Ujerumani, takriban vijana 30,000 wameshiriki katika misa ya jioni iliyosomwa na Papa Benedikt wa 16 katika mji wa Freiburg.
View ArticleWahanga wa janga la njaa wahitaji msaada zaidi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon ametoa mwito kwa Umoja wa Mataifa kutoa mchango zaidi wa fedha kuwasaidia wahanga wa janga la njaa katika Afrika ya Mashariki.
View ArticleRais Saleh aitisha uchaguzi wa mapema
Rais Saleh ametaka ufanyike uchaguzi wa mapema katika hatua ambayo huenda isiwaridhishe waandamanaji wanaomtaka aondoke madarakani.
View ArticleProfesa Wangari Maathai afariki dunia
Maathai amefariki dunia jana jijini Nairobi baada ya kuugua saratani kwa muda mrefu. Kifo chake ni pigo kubwa kwa wanaharakati wa mazingira na bila shaka kwa ulimwengu kwa ujumla.
View ArticleMahojiano na Mwanaharakati Hassan Omar Hassan kuhusu kifo cha Profesa Wangari...
Marehemu Profesa Wangari Maathai atakumbukwa kwa juhudi zake za kuyasukuma mbele masuala ya haki za binadamu na ulinzi wa mazingira.
View ArticleMrengo wa shoto wadhibiti baraza la Seneti Ufaransa
Vyama vya mrengo wa shoto vimefanikiwa kulidhibiti baraza la Seneti kutoka vyama vya mrengo wa kulia nchini Ufaransa kwa mara ya kwanza katika historia katika uchaguzi uliofanyika jana.
View ArticleHali ni tete nchini Yemen
Upande wa upinzani nchini Yemen umekula kiapo dhidi ya rais Ali Abdallah Saleh wanaedai hatekelezi ahadi anazotoa na hasemi lini atang'oka madarakani.
View ArticleWanajeshi wa baraza la mpito wateka bandari ya Sirte
Wanajeshi wa utawala mpya wa Libya wanaidhibiti bandari ya mji wa Sirte- ngome ya kiongozi wa zamani Muammar Gaddafi. Mamia ya watu wanaukimbia mji huo.
View ArticleGuinea yakumbuka mauaji ya 2009
Leo (28.09.2011) ni miaka miwili kamili tangu jeshi la Guinea lilipowavamia waandamanaji katika uwnaja wa mpira mjini Conakry na kuwauawa zaidi ya 100 katika tukio linalotajwa kama mauaji ya maangamizi.
View ArticleUgiriki yatapatapa hatima ya mfuko wa uokozi kujadiliwa
Bunge la Ujerumani linajiandaa kulipigia kura suala la kuuongeza uwezo na kiwango cha mfuko wa fedha wa kuyanusuru mataifa yanayokabiliwa na madeni na nakisi za bajeti.
View ArticleWapiganaji dhidi ya Gaddafi wapata hasara kubwa Sirte
Vikosi vinavyompinga Muammar Gaddafi vimepata hasara kubwa leo wakati vikielekea kwenye eneo la kiongozi huyo wa Libya aliepinduliwa katika mji alikozaliwa wa Sirte na pia wamepata kipigo katika mji wa...
View ArticleLibya yaahidi ushirikiano kuchunguza shambulio la Lockerbie
Watawala wapya wa Libya wamesema wako tayari kushirikiana watakapotakiwa kuwakabidhi watu wahojiwe kuhusiana na shambulio la bomu dhidi ya ndege ya abiria katika anga ya Lockerbie nchini Scotland mnamo...
View ArticleBundestag yaidhinisha mfuko wa uokozi wa Ulaya ulio madhubuti
Bunge la Ujerumani, Bundestag, limepiga kura na kuiamua hatima ya mfuko wa uokozi mahsusi kwa mataifa yanayokabiliana na madeni makubwa na nakisi ya bajeti.
View ArticleTanzania: Sakata la Dowans
Nchini Tanzania Mahakama Kuu ilitoa hukumu ya kuridhia malipo ya fidia ya fedha kwa Kampuni ya ya Dowans ambayo ilisajili,tuzo yake iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya...
View ArticleRais Sata aondolewa marufuku ya kuingia Malawi
Serikali ya Malawi imesema imeondosha marufuku ya kuingia nchini humo kwa rais mpya wa Zambia, Michael Sata, ikiwa ni kutatua mkwamo wa kibalozi kuelekea mkutano wa COMESA unaofanyika nchini Malawi...
View ArticleMasoko yarudia kupata faida baada ya bunge la Ujerumani kupiga kura
Masoko ya hisa ya Ulaya na Marekani yamepanda tena baada ya bunge la Ujerumani kuunga mkono kwa kauli moja upanuzi wa mfuko wa eneo la mataifa ya euro wa uokozi pamoja na madaraka yake.
View ArticleMapambano yanaendelea Libya
Umoja wa mataifa na duru nyengine zimeripoti kuwa raia wanaukimbia mji uliozungukwa wa Sirte nchini Libya ambako mapigano ya kuwaondoa wafuasi wa Muammar Gaddafi, yamesababisha vifo vya watu wengi
View ArticleKiongozi wa al-Qaeda nchini Yemen al-Awlaki auwawa
Mhubiri wa dini ya Kiislamu mzaliwa wa Marekani na mtu maarufu katika kundi la al-Qaeda Anwar al-Awlaki , ameuwawa katika shambulio la anga la Marekani mashariki ya Yemen.
View ArticleMji wa Sirte bado umezingirwa
Mji wa Sirte nchini Libya, mahali alikozaliwa kiongozi aliyeondolewa madarakani Muammar Gaddafi unaendelea kuzingirwa na majeshi yanayounga mkono baraza la mpito la taifa.
View ArticleJe Ugiriki itafanikiwa kupata mkopo mwingine?
Ugiriki itakosa kufikia malengo yake ya mwaka huu na ya mwaka ujao ya kupunguza nakisi kwenye bajeti yake
View Article