Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Messi na babake wafika kizimbani

Nyota wa Barcelona Lionel Messi na babake wamefika katika mahakama moja ya Uhispania kujibu mashitaka yanayohusiana na kesi ya kukwepa kulipa kodi ya mamilioni ya euro

View Article


Watu 100 wahofiwa kufa kutokana na mvua kubwa Somalia

Watu wasiopungua 100 wanahofiwa wamekufa kwenye mvua kubwa inayoshesha katika eneo la Puntland kaskazini mwa Somalia. Hayo yamesemwa na serikali ya jimbo la Puntland

View Article


Kongo yailaumu Uganda kwa kuvunjika mazungumzo

Ujumbe wa serikali ya Kongo umejiondoa katika mazungumzo na waasi wa M23 yanayosimamiwa na Uganda, baada ya pande hizo mbili kutofautiana kuhusu vipengele vya muafaka wa amani uliolenga kumaliza uasi...

View Article

Kinagaubaga: CHADEMA yasema haina mgogoro

Kufuatia kusambaa kwa taarifa kwenye vyombo habari kwamba kuna mgogoro unaofukuta kwenye uongozi wa juu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Kinagaubaga inauliza kuna nini huko ndani?

View Article

Hatma ya kesi ya Kenyatta na Ruto kujulikana leo

Umoja wa Afrika unalitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, leo kupiga kura kuahirisha kwa mwaka mmoja kesi ya uhalifu wa kibinaadamu dhidi ya viongozi wa Kenya katika Mahakama ya Kimataifa ya...

View Article


Misaada yaanza kuwasili Ufilipino

Idadi ya watu waliofariki Ufilipino kutokana na kimbunga Haiyan imeongezeka mara dufu, na kufikia 4,000, wakati helikopta za jeshi la Marekani na meli zimeanza kupeleka misaada na madaktari katika eneo...

View Article

Sigmar Gabriel achaguliwa upya kuiongoza SPD

Mkutano mkuu wa dharura wa chama cha Social Democratic, SPD, unaendelea mjini Leipizig. Sigmar Gabriel amechaguliwa upya kukiongoza chama hicho lakini hakupata kura nyingi ikilinganishwa na miaka 4...

View Article

Visiwa vya Maldives kufanya uchaguzi mkuu

Wananchi wa Visiwa vya Maldives vilivyopo katika Bahari ya Hindi siku ya Jumamosi (Novemba 16.11.2013) wanapiga kura kumchagua rais wa nchi hiyo, huku rais wa sasa akiwa safarini.

View Article


Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Magazeti ya Ujerumani wiki hii yameandika juu ya kushindakana kwa hatua ya kuutia saini mkataba wa kuleta amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

View Article


Mkutano wa Jumuiya ya Madola wafanyika Sri Lanka

Mkutano wa nchi za jumuiya ya madola, umeanza leo mjini Colombo, Sri Lanka. Wakati viongozi wa Canada, India na Mauritius wamegoma kushiriki kwa kile wanachodai nchi hiyo inapaswa kutengwa na shughuli...

View Article

UN yasema kesi dhidi ya viongozi wa Kenya itaendelea

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetupilia mbali ombi la Umoja wa Afrika kutaka kuahirishwa kwa mwaka mmoja kesi dhidi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, na naibu wake William Ruto, katika...

View Article

Ureno yapeta, Ufaransa hoi

Ureno imeanza vizuri kuwania nafasi ya kucheza katika fainali za kombe la dunia mwakani baada ya kuishinda Sweden kwa bao 1-0, Ufaransa yateleza, wakati matumaini ya Ugiriki yaongezeka kuelekea Brazil.

View Article

Mapambano yazuka Tripoli

Kumezuka mapambano Jumamosi(16.11.2012) katika mji mkuu wa Libya wakati wanajeshi na wanamgambo wenye mafungamano na serikali walipojaribu kuirudisha kambi moja iliokaliwa kwa mabavu na wapiganaji...

View Article


Mapigano mapya yazuka Libya watu 40 wauawa

Mapigano mapya yamezuka mjini Tripoli Libya jana Jumamosi(16.11.2013) wakati idadi ya watu waliouawa katika mapigano wakati wa maandamano ya kupinga wanamgambo ikipanda na kufikia watu 43.

View Article

Merkel kukubali kima cha chini

Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amedokeza kuwa tayari kukubali dai la chama cha Social Demokratik cha SPD la kuwa na kima cha chini cha mshahara kisheria ili kuweza kufikia makubaliano yao ya kuunda...

View Article


Hollande akutana na Abbas, aijia juu Iran

Rais Francois Hollande wa Ufaransa yuko Ramallah, Mamlaka ya Ndani ya Palestina, akitokea Israel alikosisitiza kuwa nchi yake haitaacha msimamo mkali dhidi ya Iran hadi Iran ioneshe kwa vitendo kuacha...

View Article

Ombi la Kuahirishwa kwa kesi ya Kenyatta na Ruto lakataliwa

Viongozi wa Jubilee nchini Kenya, wameyakosoa mataifa ya Magharibi kwa kuisaliti Kenya na kwamba yamechangia kushindwa kwa hatua ya Umoja wa Afrika ya kulitaka Baraza la Usalama, kuahirisha kesi ya...

View Article


Mkutano wa tabia nchi magazetini

Mkutano wa tabia nchi,mazungumzo ya kuunda serikali kuu ya muungano na hali ya eneo la mashariki ya Ujerumani miaka 25 baada ya ukuta wa Berlin kuporomoka ni miongoni mwa mada zilizochambuliwa zaidi...

View Article

Ushawishi wa Jumuiya ya madola watiliwa shaka

Tofauti kubwa zilizoibuka katika mkutano wa Jumuiya ya madola uliomalizika mwishoni mwa juma nchini Sri Lanka zimeitia doa jumuiya hiyo ambayo tayari inakabiliwa na shida ya kuonyesha umuhimu wake...

View Article

Uchumi kuimarishwa kati ya Arabuni na Afrika

Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi za Kiarabu na za Kiafrika wamekutana Kuwait Jumapili (17.11.2013) kuharakisha mkakati wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi,uwekezaji na biashara kabla ya kuanza kwa...

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live