Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 29004 articles
Browse latest View live

Shirika la Human Rights Watch na hali nchini Burundi

Kundi la tawi la  vijana la chama tawala nchini Burundi, Imbomerakure  limekuwa likiwahangaisha watu wengi nchini humo kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la haki za binaadamu, Human Rights Watch,

View Article


Majeshi ya Afrika yako tayari kuingia Gambia

Majeshi Senegal yakiungwa mkono na mengine ya Afrika yameweka kambi katika  mpaka  na  Gambia baada ya rais Yahya Jammeh kukataa  kuachia  madaraka wakati huu ambapo akiendelea kutengwa na maafisa wa...

View Article


Iran yazidi kuitetea nafasi yake siasa za Mashariki ya kati

Iran inayatazama mazumgumzo ya amani nchini Syria wiki ijayo kama nafasi ya kujenga mshikamano wake wa kikanda wakati pia Urusi na Uturuki zikidai kuwa na ushawishi mkubwa nchini Syria. 

View Article

Donald Trump aapishwa rais wa 45 Marekani

Donald Trump,ameapishwa rasmi kuwa rais wa 45 wa Marekani katika sherehe zilizofanyika jijini Washington na kuahidi kuwaunganisha Wamarekani wote pamoja na kuifanya nchi hiyo kuwa Dola lenye nguvu tena.

View Article

Jammeh akubali kuachia madaraka

Kiongozi wa Gambia, Yahya Jammeh, amekubali kuachia madaraka baada ya kuongoza kwa miaka 22. Hatua hiyo inakuja kufuatia mazungumzo na viongozi wa nchi za Afrika Magharibi, waliotishia kumuondoa kwa...

View Article


Vyama vya sera kali za mrengo wa kulia Ulaya vyakutana Ujerumani

Viongozi wa vyama vya sera kali za mrengo wa kulia vinavyotambulikana barani Ulaya wamejigamba juu ya matumaini ya vyama vyao wakati wa mkutano uliofanyika Jumapili (22.01.2017) katika mji wa Koblenz...

View Article

Maandamano ya wanawake dhidi ya Trump

Wanawake walimiminika mjini Washington Jumamosi (21.01.2017)kuelezea wasi wasi wao, hasira baada ya Donald Trump kuingia madarakani nchini Marekani akiwa rais wa 45, katika "maandamano ya wanawake...

View Article

Hakuna kinga ya kutoshtakiwa kwa Yahya Jammeh

Viongozi wa mataifa ya Afrika magharibi hawakukubaliana kumpa kinga ya kutoshtakiwa Yahya Jammeh wakati wa mazungumzo yao ambayo yalimshawishi kukimbilia uhamishoni.

View Article


Yahya Jammeh hana kinga ya kutoshtakiwa

Viongozi wa mataifa ya Afrika magharibi hawakukubaliana kumpa kinga ya kutoshtakiwa Yahya Jammeh wakati wa mazungumzo yao ambayo yalimshawishi kukimbilia uhamishoni.

View Article


Mazungumzo ya amani ya Syria yaanza Astana

Mkutano wa kuutafutia ufumbuzi wa mgogoro wa Syria umefunguliwa leo katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana ambapo wawakilishi wa makundi ya waasi wanakutana na upande wa serikali.

View Article

Rais Adama Barrow kurejea nchini Gambia

Barrow atarejea kutoka Senegal kuchukua hatamu za uongozi nchini Gambia. Wakati huo huo, Yahya Jammeh alaumiwa kwa kuiba mamilioni ya dola kutoka kwenye hazina kuu kabla ya kuondoka

View Article

Rais Trump avutana na vyombo vya habari

Rais Donald Trump ameanza juma la kwanza la majukumu yake ya urais huku akiwa katika vita vya maneno na vyombo vya habari jambo linalozusha swali ni kwa kiwango gani taarifa za Ikulu zinaweza kuwa za...

View Article

Mazungumzo ya Astana yaanza kwa mashaka

Mazungumzo ya amani ya Syria nchini Kazakhstan huenda nayo yasifike popote kama yalivyokuwa ya Geneva na vikao vya Umoja wa Mataifa jijini New York, kwa kauli kali za washiriki wakuu wa mazungumzo hayo.

View Article


Wafungwa 300 waachiwa huru Burundi

Mamia ya wafungwa wameachiwa huru Jumatatu kwenye jela kuu ya Mpimba Bujumbura, likiwa ni zoezi la kupunguza msongamano katika magereza mbali mbali nchini humo.

View Article

Gabon yaaga mashindano ya Afcon

Wenyeji  wa  mashindano  ya  fainali  za  kombe  la  mataifa  ya Afrika  Gabon  waaga  mashindano, Senegal, Burkina Faso, na Cameroon  zatinga  robo  fainali , Tunisia matumaini  ni  makubwa katika...

View Article


RB Leipzig bado yaonesha ubabe

Timu ya RB Leipzig iliyopanda daraja msimu huu imeendelea kuonesha kwamba hakuna wa kuiporomoa kutoka kilelele mwa ligi ikiisaka Bayern Munich iliyoko kileleni.

View Article

Oxfam: Pengo kati ya matajiri na masikini laongezeka

Pengo kati ya matajiri na maskini limeelezwa kuwa kubwa kuliko ilivyodhaniwa awali huku watu wanane tu kuanzia Bill Gates hadi Michael Bloomberg wakimiliki utajiri sawa na wa watu bilioni 3.6.

View Article


Mazungumzo ya Syria yaanza kwa mashaka

Mazungumzo ya amani ya Syria nchini Kazakhstan huenda nayo yasifike popote kama yalivyokuwa ya Geneva na vikao vya Umoja wa Mataifa jijini New York, kwa kauli kali za washiriki wakuu wa mazungumzo hayo.

View Article

Barrow amteua mwanamke kuwa makamu wa rais

Rais wa Gambia, Adama Barrow amemteua Fatoumata Jallow-Tambajang kuwa Makamu wa Rais. Huo ni uteuzi wa kwanza tangu Barrow alipochukua madaraka Januari 19.

View Article

Mazungumzo Syria yaendelea baada ya siku ngumu

Mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Syria na upanda wa upinzani yamendelea Kazakhstan, baada ya siku ya kwanza ngumu ambamo pande hizo zilitupiana maneno makali lakini zikakubaliana kuendeleza...

View Article
Browsing all 29004 articles
Browse latest View live