Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live
↧

Tanzania: Mahakama yaahirisha swala la mbunge Hamad Rashid wa CUF

Mahakama Kuu nchini Tanzania imetoa muda zaidi kwa chama cha upinzani nchini Tanzania, CUF, kuzipitia hoja za waliowafukuza kutoka chama chao, akiwemo Mbunge wa Wawi, kisiwani Pemba, Hamad Rashid.

View Article


Wanajeshi wauawa katika ajali ya helikopta

Wanajeshi 6 wa Marekani wamepoteza maisha yao katika ajali ya helikopta iliyotokea kusini ya Afghanistan. Afisa mmoja wa Marekani amesema, helikopta hiyo ilianguka katika wilaya ya Helmand.

View Article


Hali ingali tete Somalia

Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa hali ingali mbaya nchini Somalia. Kiasi ya watu milioni nne wanahitaji msaada wa dharura ama sivyo kutatokea maafa makubwa ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Afrika...

View Article

Kombe la mataifa barani Afrika na kuvunjwa Haki za Binaadam

Michuano ya kimataifa inaandaliwa mara nyingi katika nyingi ambako haki za binaadam haziheshimiwi.Imeshuhudiwa miaka ya 30 na mpaka leo halai ndio ile ile.

View Article

Iran yataka mazungumzo na Marekani bila masharti

Umoja wa Falme za Kiarabu umetahadharisha dhidi ya kutokea machafuko zaidi juu ya mgogoro uliopo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku Iran ikitaka majirani zake wa Kiarabu kujitenga na Marekani.

View Article


Zanzibar yapinga Tanzania kudai eneo zaidi la mpaka wa bahari kuu

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Zanzibar sasa wanasema ombi la serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Umoja wa Mataifa kuomba nyongeza ya mpaka katika Bahari ya Hindi ni kuipokonya...

View Article

Umwagaji damu usitishwe Syria

Umoja wa Nchi za Kiarabu unashinikizwa kuomba msaada wa Umoja wa Mataifa huku sauti zikizidi kupazwa kuwa tume iliyopelekwa Syria hivi karibuni, imeshindwa kuzuia mauaji yanayoendelea tangu miezi kumi...

View Article

Watu saba wauwawa katika msururu wa mashambulizi ya bomu Nigeria

Msururu wa miripuko ya bomu iliyoratibiwa na mashambulizi ya bunduki yanayodaiwa kufanywa na kundi la Boko Haram, yameua watu saba katika mji wa Kano, ulio mkubwa kabisa kaskazini mwa Nigeria na wenye...

View Article


Idadi kubwa ya watu wauwawa Nigeria

Takribani miili ya watu 120 imerundikana katika chumba cha kuhifadhia maiti huko katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Nigeria, Kano baada ya kutokea kwa mashambulio ya mabomu na risasi usiku uliyopita.

View Article


Hadi watu 143 wauawa Kano

Duru za hospitali zinasema, takriban watu 143 wameuawa kwenye mashambulzii yaliyoratibiwa katika mji wa Kano, ulio wa pili kwa ukubwa nchini Nigeria.

View Article

Waliokufa kwenye miripuko ya Nigeria wafikia 160

Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na mashambulizi ya mabomu yaliyofanyika katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Nigeria, Kano, Ijumaa iliyopita (20.01.2012) nchini Nigeria imepanda na kufikia 160.

View Article

Zanzibar na swala la eneo la Bahari ya Hindi

Wajumbe wengi wa baraza la wawakilishi visiwani Zanzibar wametaka Waziri wa maliasili wa Zanzibar Juma Shamhuna ajiuzulu.

View Article

Hatimaye ICC yatoa muelekeo wa siasa za Kenya

Wakenya walikuwa wakisubiri kwa hamu kubwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu mjini The Hague, ambayo imewaona wanasiasa wanne wana kesi ya kujibu kwa kuhusika na vurugu za baada ya uchaguzi wa...

View Article


Kenya yagawanywa na maamuzi ya ICC

Maoni tofauti yanaendelea kutolewa nchini Kenya siku moja baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu kutoa uamuzi wa kuthibitisha mashtaka dhidi ya washukiwa wanne kati wa ghasia za baada ya uchaguzi...

View Article

Zanzibar: Mzozo wa kupanuliwa eneo la Bahari ya Hindi

Jana katika baraza la wawakilishi la Visiwani Zanzibar kulikuweko majadiliano makali kuhusu hoja iliowasilishwa na mwakilishi wa eneo la Mji Mkonge wa Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu,

View Article


Wimbi la mashambulio laendelea Nigeria

Miripuko mipya imeutikisa mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria asubuhi ya leo. Miripuko hiyo na milio ya risasi ilisikika katika mji huo wa kaskazini,ambako Ijumaa hadi watu 185 waliuawa katika msururo...

View Article

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania

Nchini Tanzania wakati madaktari na wafanyakazi wa sekta ya umma wakianzisha mgomo jumla ya utoaji huduma katika hospitali na vituo vya afya imeanza kuzorota kutokana na madaktari kutofika kwenye vituo...

View Article


Wamisri waadhimisha mwaka mmoja wa mageuzi

Maelfu ya raia wa Misri wamekusanyika katika uwanja wa Tahrir mjini Cairo, ikiwa ni maadhimisho ya kwanza tangu kuondolewa madarakani kwa Hosni Mubarak huku kukiwa shaka ya kubadilika kwa maudhui ya...

View Article

Uhuru wa vyombo vya habari bado tatizo

Shirika la Maripota wasio na Mipaka-RSF-limetoa ripoti yake ya mwaka 2011 inayohusika na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi mbali mbali duniani-yaani uwezo wa waandishi habari kufanya kazi bila ya...

View Article

Waasi wa JEM kule Darfur wamchaua kiongozi mpya

Kundi kuu la waasi katika eneo linalokumbwa na mzozo nchini Sudan, Darfur, limemchagua aliyekuwa wakati mmoja profesa wa chuo kikuu kuwa kiongozi wake baada ya kifo cha kakake, ambaye alikuwa kiongozi...

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live