Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Watu saba wauwawa katika msururu wa mashambulizi ya bomu Nigeria

$
0
0
Msururu wa miripuko ya bomu iliyoratibiwa na mashambulizi ya bunduki yanayodaiwa kufanywa na kundi la Boko Haram, yameua watu saba katika mji wa Kano, ulio mkubwa kabisa kaskazini mwa Nigeria na wenye waislaamu wengi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles