Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Kuuliwa kwa wanyama pori nchini Tanzania

Shirika la Kimataifa linalofadhili miradi ya kuwalinda wanyama Pori la TRAFFIC limesema kwamba mwaka 2011 ulikuwa ni mwaka mbaya kabisa kwa wanyama pori, hasa tembo ambao wameuliwa kwa kiasi kikubwa.

View Article


CUF yamfukuza Hamad Rashid na wenzake

Baraza Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania limeamua kwa wingi wa kura kumfukuza mmoja wa waasisi wa chama hicho na mwanasiasa mkongwe, mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohammed, na...

View Article


Wanasiasa wamkosoa, wamuunga mkono Rais Wulff

Jana (04.01.2012), Rais Christian Wulff wa Ujerumani alifanya mahojiano na waandishi wa habari juu ya kashfa ya mkopo wa nyumba na pia simu aliyopiga kwa gazeti la Bild kulikemea kwa kuchapisha kashfa...

View Article

Milipuko minne yawauwa watu 29 mjini Baghdad, Iraq

Mabomu manne yameyatikisa maeneo yanayokaliwa na Waislamu wengi katika mji mkuu wa Iraq Baghdad na kuwauwa takriban watu 29 na kuwajeruhi wengine wengi hii leo.

View Article

Rais Wulff abakia kwenye majaribu

Rais wa Ujerumani, Christian Wulff, ataendelea katika wadhifa wake baada ya kujaribu kujitetea katika mahojiano na televisheni, lakini mhariri mkuu wa DW, Ute Schaeffer, anasema Wulff anaendelea kuwa...

View Article


Obama azindua mkakati mpya wa kijeshi

Rais wa Marekani Barrack Obama amezindua mkakati wa ulinzi ambao utapanua uwezo wa jeshi la Marekani barani Asia, lakini utapunguza idadi jumla ya wanajeshi wake katika jeshi hilo ili liwe na ufanisi...

View Article

Shambulio katika kanisa nchini Nigeria

Wakati baadhi ya raia wa Nigeria wakiendelea kuomboleza kufuatia vifo vya zaidi ya watu 40 walioshambuliwa mwishoni mwa mwaka jana na kundi la Boko Haram, tukio kama hilo limejirudia tena usiku wa...

View Article

Chama cha FDP chafanya mkutano wake

Chama cha FPD kinapania kujiimarisha ili kiweze kushinda nafasi nyingi zaidi bungeni katika uchaguzi ujao baada ya kupoteza uungwaji mkono.

View Article


Ban Ki Moon ataka machafuko Syria yakome

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali inayoendelea kuzorota nchini Syria. Ni kufutia shambulizi la bomu la mtu wa kujitoa muhanga ambapo watu 26 waliuwawa...

View Article


Ndege za kivita za jeshi la Kenya zimeuwa wanamgambo 50 wa al Shabab

Ndege za kivita za Majeshi ya Kenya zimeshambulia kambi za wanamgambo wa al Shabab huko kusini mwa Somalia na kuwauwa takribani wanamgambo 50 na wengine 60 kujeruhiwa vibaya.

View Article

Wakristo waripotiwa kukimba machafuko nchini Nigeria

Wakristo wanaripotiwa kuendelea kuyakimbia maeneo ya kaskazini mwa Nigeria baada ya mfululizo wa mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wa kundi la waislamu wenye itikadi kali, Boko Haram.

View Article

Jumuiya ya Kiarabu yaruhusu waangalizi wake kubakia Syria

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Kiarabu wameamua kuiruhusu timu ya waangalizi wa Jumuiya hiyo, kukamilisha kazi yao ya mwezi mmoja nchini Syria, licha ya lawama kali zinazotolewa kwa waangalizi...

View Article

Jumuiya ya Kiarabu bado kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imekubali kuruhusu timu ya waangalizi wake kubakia nchini Syria kumaliza kazi yao ya mwezi mmoja, na imejizuia kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa kama ilivyokuwa...

View Article


Ujerumani imeahidi kusaidia Libya katika maendeleo

Waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Guido Westerwelle, jana ameahidi kuiunga mkono Libya katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo baada ya kuuondoa utawala wa kimabavu wa Muammar Gaddaf.

View Article

Rais Sanha atakumbukwa kwa kutafuta masikizano

Rais wa Guinea-Bissau, Malam Bacai Sanha, aliyefariki dunia hapo jana (9 Januari 2012) akiwa matibabuni Ufaransa, atakumbukwa kwa juhudi zake za kuipatia utulivu wa kisiasa nchi yake, ambayo jeshi lina...

View Article


Mgomo wa kitaifa Nigeria waingia siku ya pili

Mgomo wa kupinga ongezeko la bei ya mafuta unaendelea nchini Nigeria huku kukiwa na taarifa za kuuawa kwa watu sita hapo jana (9 Januari 2012) katika makabiliano kati ya polisi na maelfu ya waandamanaji.

View Article

Hali yazidi kuvurugika nchini Syria

Upande wa upinzani nchini Syria umekosoa ripoti ya tume ya wachunguzi wa Umoja wa Nchi za Kiarabu, huku Rais Bashar al Assad naye akiyalaumu makundi ya kigeni kutaka kuleta vurugu nchini mwake.

View Article


Umoja wa Mataifa waambiwa mauaji yanaendelea nchini Syria

Umoja wa Mataifa umesema kwamba kiasi ya watu 400 wameuawa nchini Syria tangu timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Kiarabu ianze kazi ya kuangalia utekelezaji wa mpango wa amani mwezi Disemba mwaka jana.

View Article

Clinton asema shutuma za Rais Assad kwa nchi za nje ni unafiki

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani Hilary Clinton amesema shutuma za Rais wa Syria kuwa nchi za nje zina njama dhidi ya nchi yake, ni unafiki mkubwa.

View Article

Zanzibar yaadhimisha miaka 48 ya mapinduzi

Leo tarehe 12 januari inatimia miaka 48 tangu kufanyika mapinduzi ya Zanzibar yaliyouondosha ufalme visiwani humo.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live