Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Rais Sanha atakumbukwa kwa kutafuta masikizano

$
0
0
Rais wa Guinea-Bissau, Malam Bacai Sanha, aliyefariki dunia hapo jana (9 Januari 2012) akiwa matibabuni Ufaransa, atakumbukwa kwa juhudi zake za kuipatia utulivu wa kisiasa nchi yake, ambayo jeshi lina usemi wa juu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles