Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Jumuiya ya Kiarabu bado kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa

$
0
0
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imekubali kuruhusu timu ya waangalizi wake kubakia nchini Syria kumaliza kazi yao ya mwezi mmoja, na imejizuia kuomba uingiliaji kati wa Umoja wa Mataifa kama ilivyokuwa imefikiriwa mwanzo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles