Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Obama awakutanisha mahasimu wawili wakuu wa Mashariki ya kati

Mazungumzo ya ana kwa ana kati ya Israel na Palastina yameanza mjini Washington licha ya mashambulio ya wapinzani wa amani wanaotaka kuyafuja.

View Article


Mgomo kuendelea Afrika Kusini ?

Wafanyikazi wakataa nyonegza ya 7.5%

View Article


Mazungumzo ya Mashriki ya Kati yameanza Washington

bibi Hillary Clinton awakaribisha rasmi wajumbe wa pande 2.

View Article

Matumaini ya amani ya mashariki ya kati

Vizingiti viwili vikubwa -ujenzi wa makaazi ya wayahudi na makundi ya itikadi kali-vinaweza kuutia munda utaratibu wa amani-wanahofia wadadisi

View Article

Matumaini yachomoza katika mazungumzo ya amani Mashariki ya Kati

Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha karibu miaka 2 Waisraeli na Wapalestina wameanza tena mazungumzo ya amani ya ana kwa ana mjini Washington, Marekani

View Article


Je, amani iko njiani Mashariki ya Kati

kufuatia kikao cha kwanza huko Washington

View Article

Majadiliano yapamba moto kuhusu juhudi za kujumuishwa wageni katika maisha ya...

Kansela Angela Merkel asema hakubaliani na hoja za Thilo Sarrazin hata hivyo anasema kuna haja ya kushadidia upande wa elimu miongoni mwa wahamiaji

View Article

Mwanachama wa bodi ya benki kuu Sarrazin aonywa

Mjadala wapamba moto kuhusu jinsi ya kuendelezwa na kutekelezwa juhudi za kuwajumuisha ipasavyo wahamiaji katika maisha ya kila siku ya jamii

View Article


Thilo Sarrazin:chuma chake kiko motoni

Thilo Sarrazin huenda akapoteza cheo chake kama mwanachama wa bodi kuu ya benki kuu ya Ujerumani kutokana na matamshi yake ambayo baadhi mtu anaweza kusema ni matusi dhidi ya wahamiaji.

View Article


Tetemeko la ardhi lasababisha uharibifu mkubwa New Zealand

Maafisa wametangaza hali ya hatari kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililotokea katika mji wa Christchurch nchini New Zealand mapema leo asubuhi.

View Article

Karzai azungumzia amani

Baraza jipya la amani Afghanistan liko tayari kwa mazungumzo na taliban.

View Article

Israel yashambulia vituo katika Ukanda wa Gaza

Mashambulio matatu ya jeshi la anga la Israel yamelenga vituo vya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

View Article

Kundi la ETA latangaza kusitisha mapigano

Wapiganaji wa ETA walitangaza kutofanya tena operesheni za mashambulio ili kusaidia kuanzisha mchakato wa demokrasia nchini Hispania. Serikali inasema haina imani na kauli hiyo

View Article


Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Israel atilia ashaka juhudi za amani

Avigdor Lieberman anasema haamini kama amani pamoja na wapalastina itapatikana "si kwa mwaka mmoja na wala si kwa kizazi kijacho"

View Article

Mkutano kuhusu maji waingia siku ya pili mjini Stockholm

Hali inayoongezeka ya uchafuaji wa maji pamoja na kupungua kwa ubora wa maji duniani ni mada muhimu wakati wataalamu 2,500 kutoka duniani kote wanapoanza mkutano wao wa 20 wa wiki ya maji duniani mjini...

View Article


Merkel aelezea imani yake kuhusu sheria ya vinu vya nyuklia

Kansela huyo wa Ujerumani amesema sheria hiyo inaweza ikapitishwa bila kuungwa mkono na baraza la wawakilishi wa serikali za majimbo.

View Article

Uamuzi wa serikali ya muungano kuhusu nishati ya nuklea wakosolewa magazetini

Watakaofaidika na uamuzi wa kurefusha muda wa vinu vya nishati ya kinuklea ni wenye kumiliki makampuni makubwa makubwa ya nishati-wanasema wahariri

View Article


Barroso alihutubia bunge la Ulaya kuhusu hali ya Umoja wa Ulaya

Rais wa Halmashauri ya Umoja wa Ulaya, Jose Manuel Barosso, kwa mara ya kwanza amelihutubia bunge la Ulaya kuhusu hali halisi ya umoja huo mjini Strasbourg

View Article

Barroso alihutubia Bunge la Ulaya

Hotuba yake hiyo ililenga zaidi kuhusu uchumi wa Umoja wa Ulaya na kutoa mapendekezo kadhaa kuzuia mizozo mingine ya madeni.

View Article

Chuki dhidi ya Uislamu , mchungaji kuchoma Koran

Mchungaji mmoja katika jimbo la Florida , kutokana na chuki dhidi ya Uislamu,anataka kuichoma Koran siku ya Septemba 11 kitabu kitakatifu kabisa cha Waislamu.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live