Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Rais Sarkozy harezi kamba

Wagomaji waahidi migomo zaidi kupinga sera zake za bima.

View Article


Upinzani dhidi ya Uislamu waongezeka nchini Marekani ?

Siku chache kabla ya kumbukumbu ya shambulio la kigaidi la Septemba 11 nchini Marekani, inaonekana kuna wimbi la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.

View Article


Merkel alaani mipango ya kuchoma moto Koran tukufu

Kansela huyo wa Ujerumani amesema mipango hiyo ni ya chuki na ambayo sio sahihi.

View Article

Tuzo ya uhuru wa vyombo vya habari , Merkel amtunza mchoraji wa Denmark...

Jioni ya jana katika mji wa Potsdam kulifanyika hafla ya kumpa tuzo msanii wa vibonzo kutoka Denmark Kurt Westergaard, tuzo ya vyombo vya habari.

View Article

Magazetini Ujerumani

Na sasa ni wakati wa kuchambua habari zilizogonga vichwa vya habari katika magazeti ya Ujerumani.

View Article


Uchomaji wa Koran washutumiwa duniani kote

Mpango wa kuchoma nakala za kitabu kitakatifu cha Waislamu cha Koran katika jimbo la Florida nchini Marekani umezusha shutuma kali duniani kote

View Article

Mipango ya kuchoma Koran tukufu yaahirishwa

Uamuzi huo umetangazwa na Mchunganji Terry Jones wa Kanisa moja nchini Marekani, aliyepanga kuchoma moto nakala za Koran tukufu hapo kesho.

View Article

Sarrazin ajiuzulu uanachama wa bodi ya benki kuu ya Ujerumani

Mwanachama wa bodi ya uongozi ya Benki Kuu ya Ujerumani, Thilo Sarrazin, amejiuzulu baada ya kukabiliwa na shinikizo kutoka kwa wanasiasa kufuatia matamshi yake kuhusu wahamiaji yaliyozusha ghadhabu

View Article


Kujiuzulu kwa Sarrazin kwazua hisia tofauti

Kujiuzulu kwa Thilo Sarrazin, mwanachama wa bodi ya uongozi ya benki kuu ya Ujerumani kumezusha hisia mbalimbali humu nchini huku rais wa Ujerumani Christian Wulff akiepuka kibarua kipevu cha kumfuta...

View Article


Obama ataka waumini kuvumiliana.

Wakati leo ikitimia miaka tisa tangu kutokea kwa shambulio la kigaidi mjini New York, Septemba 11 2001, Rais Barack Obama wa Marekani ametoa wito wa kuwepo kuvumiliana kwa waumini wa dini tofauti.

View Article

Marekani - September 11

Marekani inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 9 ya shambulio la kigaidi la Septemba 11.

View Article

Marekani - September 11

Rais Barack Obama amewaomba raia kuwa na umoja, huku mpango wa kuichoma Quran tukufu ukifutilia mbali.

View Article

Uturuki kufanya kura ya maoni ya katiba

Raia wa Uturuki wanapiga kura ya maoni hii leo iliyo na dhamira ya kuleta mabadiliko ya katiba nchini humo.

View Article


Kura ya maoni Uturuki, raia wataka mageuzi

Katika kura ya maoni ambayo ilikuwa muhimu sana kwa taifa la Uturuki, raia nchini humo wameidhinisha mageuzi ya katiba ambayo hayajawahi kufanyika katika muda wa miongo kadha.

View Article

Waapiga kura wa Uturuki waunga mkono mageuzi ya katiba

Jumuia ya kimataifa yaipongeza Uturuki kutokana na kuungwa mkono na wananchi walio wengi mageuzi ya katiba

View Article


Majadiliano ya Amani - Mashariki ya Kati

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais wa Wapalestina Mahmoud Abbas, hii leo wanakutana kwa majadiliano ya amani katika Mashariki ya Kati.

View Article

Jukumu la kutumukia jeshini lawekewa suala la kuuliza

Wahariri wamemulika jinsi waapiga kura wa vyama vya kihafidhina walivyogawika katika suala la kufutiliwa mbali jukumu la vijana kutumikia jeshini

View Article


Majadiliano ya amani yagubikwa na suala la makaazi

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na Rais wa Wapalestina Mahmoud Abbas hii leo wamekutana kwa majadiliano ya ana kwa ana katika mji wa Sharm-el-Sheikh nchini Misri. .

View Article

Mazungumzo ya amani ya Mashariki ya Kati yaingia siku ya pili

Duru ya pili ya mazungumzo hayo ambayo yanasimamiwa na Marekani, jana yalifanyika Sharm el-Sheikh, Misri na leo yanaendelea mjini Jerusalem, Israel.

View Article

Ufaransa na Burka:Ujerumani na riba za mabenki.

Vipi Kuba kujinusuru na msukosuko wa uchumi wake ?

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live