Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 29141 articles
Browse latest View live
↧

Uchaguzi Tanzania: Mahojiano na katibu mkuu wa chama cha TADEA

Nchini Tanzania wakati homa ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 31 ikipanda, miongoni mwa vyama vinavyojiandaa kwa uchaguzi huo ni vile vidogo vidogo vinavyoelekea kujitokeza zaidi huko...

View Article


Rais Nkurunziza aapishwa leo

Nchini Burundi,Rais Pierre Nkurunziza anaapishwa rasmi hii leo mjini Bujumbura kwa muhula wa pili wa uongozi.

View Article


Mali asili muhimu kuingiza China katika teknolijia ya juu

Mali asili ya madini kama Yittrium, Prometheum ama Neodym inapatikana China na madini hayo yanayotumika katika uzalishaji wa vifaa vya teknolojia yataiingiza China katika nguvu kubwa duniani.

View Article

Kiasi watu 350,000 wamehamishwa kutokana na mafuriko

Mto Indus katika eneo la kusini ya jimbo la Sindh nchini Pakistan umezamisha vijiji vingine kadha leo, na maafisa wameamuru watu zaidi ya lakini tatu kuhama katika maeneo yao.

View Article

Ujerumani yapeleka mitambo ya kusafisha maji Pakistan

Shirika la misaada ya kifundi la Ujerumani THW, linapeleka Pakistan, tume ya wataalamu na mitambo miwili ya kusafisha maji.

View Article


Jitahada za kuwajumuisha Waroma Ulaya

Hatua iliyochukuliwa na Ufaransa kuwafukuza Waroma imeishtusha Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya.Mkuu wa masuala ya kisheria wa umoja huo, Viviane Reding amesema, lugha iliyotumiwa katika mdahalo...

View Article

Historia yaandikwa upya Kenya!

Rais Mwai Kibaki wa Kenya leo amesaini katiba mpya kuwa sheria, wiki kadhaa baada ya katiba hiyo kuungwa mkono na Wakenya kwenye kura ya maoni.

View Article

Wanaharakati walinzi wa mazingira - Greenpeace Watimiza miaka 30 Ujerumani

Katika mwaka 1997 wanaharakati wanaopigania amani walianzisha rasmi shirika la Greenpeace nchini Canada. Miaka 9 baadaye mwaka 1990, kundi la Ujerumani lilichukua uongozi.

View Article


Merkel akamilisha ziara yake katika vinu vya kinuklia

Serikali ya Ujerumani inafikiria upya lengo lake la kuweka kodi zaidi kwa viwanda vinne vikubwa vya kuzalisha nishati ya kinuklia, siku chache baada ya maafisa wa serikali ´kusema hivyo.

View Article


Hali nchini Pakistan

Mafuriko yatishia maisha katika maeneo ya kusini,mwezi mmoja baada ya janga baya kabisa la mafuriko kuwahi kuisibu Pakistan

View Article

Sarrazin akosolewa vikali

Thilo Sarrazin,mwanachama wa Bodi ya Benki Kuu ya Ujerumani, amekosolewa vikali na waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani,Guido Westerwelle na Baraza Kuu la Wayahudi kuwa anachochea ubaguzi na chuki dhidi...

View Article

Mwaka wa tano baada ya kimbunga cha Katrina.

Zaidi ya watu 1,500 waliuawa, wakaazi waliilaumu serikali kwa uzembe.

View Article

Uchaguzi Tanzania: Mahojiano na Mkurugenzi wa kampeni za uchaguzi za...

Kampeni za uchaguzi wa urais na ubunge, ambao utafanyika huko Tanzania mwishoni mwa Oktoba, ziko mbioni.

View Article


Ujerumani kujenga upya mabomba ya gesi nchini Ukraine

Kansela wa Ujerumani Angela amemuweka katika kitimoto rais wa Ukraine Viktor Yanukovich kuhusu suala la uhuru wa vyombo vya habari wakati alipokutana na kiongozi huyo hapo jana mjini Berlin

View Article

Wanajeshi wa Marekani wakamilisha harakati za kijeshi nchini Iraq

Rais Barack Obama ataahutubia taifa leo usiku kuadhimisha mwisho wa shughuli z kijeshi za nchi yake nchini Iraq

View Article


Afrika Kusini 7.5% nyongeza-mishahara

Je, wafanyikazi wataridhia ?

View Article

Gaddafi awahimiza wanawake vijana Uitalia kuingia Uislamu

Mualiko wa kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kwa mamia ya wanawake vijana kubadili dini na kuwa Waislamu,umegubika ziara yake ya siku mbili nchini Uitalia iliyokuwa na nia ya kuimarisha uhusiano kati...

View Article


Clinton akutana na viongozi wa Israel na Palestina mjini Washington

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani Hillary Clinton amekutana na viongozi wa Israel na wa Palestina mjini Washington, Marekani. Mkutano umegubikwa na mauaji ya Waisraeli wanne katika eneo la...

View Article

Waziri wa ulinzi wa Marekani Gates awasili Irak

Askari 50,000 wa Marekani watakuwa chini ya wizara ya nje

View Article

Rais Obama atoa hotuba ya kukamilisha vita vya Iraq.

Wanajeshi 4,400 wa Marekani waliuawa, 34,260 walijeruhiwa na maelfu ya Wairaqi walikufa katika vita hivyo.

View Article
Browsing all 29141 articles
Browse latest View live