Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28997 articles
Browse latest View live
↧

Mkutano wa jumuiya ya SADC wamalizika leo Windhoek

Kikao cha kilele cha marais wa mataifa wanachama wa Jumuiya ya SADC kimeingia mkondo wa mwisho mjini Windhoek nchini Namibia

View Article


Mgombea urais wa Chama cha Wananchi, CUF, Seif Sharif Hamad atangaza sera na...

Joto la kisiasa lazidi Zanzibar huku uchaguzi wa Oktoba 31 ukikaribia nchini Tanzania

View Article


Karzai azivunja kampuni binafsi za usalama, amezipa miezi minne.

Makampuni binafsi yanayolinda usalama nchini Afghanistan yatavunjwa.

View Article

Mafuriko Pakistan

Balozi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa aomba msaada zaidi.

View Article

Malawi yapata bendera mpya.

Bendera mpya ya taifa ya Malawi yenye kuonesha ishara ya kile kilichoelezwa kwamba Wamalawi ''wamezindukana'' tangu nchi hiyo kupata uhuru kutoka kwa Mwingireza miaka 46 iliyopita, imezinduliwa rasmi.

View Article


Mwaka mmoja tangu kuachiwa mripuaji wa ndege huko Lockerbie

Mripuaji huyo Abdel Baset al-Megrahi aliachiwa huru kutoka jela mwaka uliopita kwa kuzingatia misingi ya huruma kutokana na kuugua saratani ya kibofu.

View Article

Sakata la uraia wa mwanachama wa chama cha CCM nchini Tanzania

Sakata la uraia linalomkabili aliyekuwa mwanachama wa chama tawala nchini Tanzania cha CCM, Hussein Bashe bado linaendelea kuleta utata baada ya Idara ya Uhamiaji kuthibitisha kwamba mhusika ni raia.

View Article

Vita vya Irak vyamalizika rasmi

Vikosi vya mapambano vya Marekani vyaondoka rasmi Irak.

View Article


Shibuda akihama chama cha CCM na kujiunga na CHADEMA

Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi kesho

View Article


Mazungumzo ya amani Mashariki ya Kati kuanza tena Septemba Pili

Mazungumzo hayo ya ana kwa ana yataanza tena baada ya Palestina na Israeli kuukubali mwaliko uliotolewa na Marekani.

View Article

Uchaguzi Australia

Kura zimeanza kuhesabiwa, nchini Australia na matokeo kamili yanatarajiwa hapo kesho.

View Article

Mazungumzo ya amani yatafana,yasema Ujerumani

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amewatolea wito viongozi wa Israel na Palestina kushiriki kikamilifu katika mazungumzo mapya ya moja kwa moja yaliyo na azma ya kuisaka amani ya Mashariki ya Kati.

View Article

Ahmadinejad azindua ndege iliyotengenezwa Iran

Rais wa Iran,Mahmoud Ahmadinejad hii leo amezindua ndege ya masafa marefu inayoweza kupachikwa mabomu.

View Article


Dr Slaa atangaza sera yake

Kiongozi wa CHADEMA aahidi katiba mpya Tanzania iwapo atashinda

View Article

Steinmeier kumpa mkewe figo

Mwanasiasa huyo ambaye alikuwa naibu kansela na waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani katika serikali iliypoita, atajiondoka kwa muda katika ulingo wa siasa

View Article


Mageuzi makubwa kufanywa katika jeshi la Ujerumani

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Karl-Theodor zu Guttenberg amewasilisha mapendekezo ya kufanywa mageuzi katika jeshi la Ujerumani "Bundeswehr."Hayo yatakuwa mageuzi makubwa kabisa katika historia ya...

View Article

Wanajeshi kupunguzwa kwa theluthi moja

Jeshi la Ujerumani "Bundeswehr" linatazamiwa kufanyiwa mageuzi makubwa kabisa, tangu jeshi hilo lilipoundwa miaka 55 iliyopita.

View Article


Hali nchini Pakistan

Uchumi wa Pakistan kupata pigo kubwa kufuatia mafuriko nchini humo.

View Article

Umoja wa Ulaya walaani shambulio la al-Shabaab

Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya, Bibi Catherine Ashton amelaani shambulio la wanamgambo lililouwa watu 31 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu siku ya Jumanne.

View Article

Uchaguzi Tanzania: Mahojiano na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama cha...

Wakati joto la uchaguzi likizidi kupamba moto huko nchini Tanzania, vyama mbalimbali vinaendelea na kampeni zao kwa lengo la kujinadi kwa wananchi ili vifanikiwe kujinyakulia ushindi.

View Article
Browsing all 28997 articles
Browse latest View live