Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Rais Saleh asaini makubaliano ya kuacha madaraka

Hatimaye Rais Ali Abdulla Saleh wa Yemen amesaini makubaliano yanayofungua njia ya kuondoka madarakani, akikabidhi madaraka hayo kwa makamo wake, naye akihakikishiwa kinga ya kutoshitakiwa.

View Article


Umoja wa Mataifa waionya Ethipia kuhusu kupeleka majeshi Somalia

Umoja wa mataifa umeonya kuwa kitendo cha Ethiopia kupeleka vikosi vyake nchini Somalia kunaweza kuzorotesha zaidi hali mbaya ya usalama katika eneo hilo.

View Article


Hali nchini Misri-wanajeshi waomba radhi

Mapigano yamepamba moto kwa siku ya sita mfululizo mjini Cairo ambako maelfu ya waandamanaji wanadai jeshi liwakabidhi raia madaraka. Baraza kuu la kijeshi limeomba radhi kwa mauwaji ya raia.

View Article

Kamal Ganzouri atakiwa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Misri

Imeripotiwa kwamba Baraza la Kijeshi la Misri limemteua Kamal al-Ganzouri kuwa waziri mkuu mpya lakini waandamanaji wanapinga na wanaendelea kukusanyika kwa maandamano dhidi ya utawala huo.

View Article

Waandishi wa habari wanyanyaswa katika kipindi cha kampeni DRC

Kipindi cha kampeni ya uchaguzi mkuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimeghubikwa na vitendo vya unyanyasaji dhidi ya waandishi na vyombo vya utangazaji habari.

View Article


Syria kutekeleza matakwa ya jumuiya za kiarabu au iwekewe vikwazo

Serikali ya Syria ina saa chache kukubali waangalizi wa kimataifa wakiwemo waandishi habari kuingia nchini humo na kuangalia mambo yanavokwenda la sivyo iwekewe vikwazo.

View Article

Bunge la Ujerumani lapitisha bajeti ya mwaka 2012

Wabunge wa Ujerumani wameridhia bajeti ya mwaka 2012, ambayo itakuwa na deni jipya la euro bilioni 26, ambalo ni kubwa kulinganisha na la mwaka 2011, lakini halihatarishi usalama wa kiuchumi wa taifa...

View Article

Yahya Jammeh atangazwa mshindi Gambia

Rais wa Gambia, Yahya Jammeh, ameshinda muhula mwengine wa miaka mitano, baada ya Tume ya Uchaguzi kumtanganza mshindi wa uchaguzi wa Alhamis iliyopita.

View Article


Uchaguzi Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

Mikutano ya hadhara yapigwa marufuku mjini Kinshasa

View Article


Pakistan yaiamuru jumuiya ya NATO iondoke kambini

Shambulio la Jumamosi ni pigo kwa juhudi za Marekani kuimarisha ushirikiano na Pakistan katika kuvimaliza vita nchini Afghanistan

View Article

Ghasia siku ya mwisho ya kampeni DRC

Siku ya mwisho ya kipindi cha kampeni ya uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeghubikwa na ghasia baina ya mgombea mkuu wa upinzani Etienne Tshisekedi na polisi hapo jumamosi.

View Article

Uchaguzi mkuu wafanyika leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Uchaguzi wa leo unafuatia kampeni iliyogubikwa na machafuko ambapo watu wawili waliuwawa siku ya mwisho ya kampeni. Mji wa Lubumbashi ulikuwa kitovu cha machafuko kuelekea uchaguzi.

View Article

Watu 23 wauwawa Syria huku jumuiya ya kiarabu ikiiwekea vikwazo

Raia wasiopungua 23 wameuwawa nchini Syria huku jumuiya ya nchi za kiarabu ikiiwekea vikwazo nchi hiyo. Uingereza imeipongeza hatua hiyo ikisema ni ishara kushindwa kwa utawala kutimiza ahadi zake...

View Article


Upigaji kura waendelea DRC

Raia katika Jamhuri ya Demokrasia ya Congo wanaendelea kumiminika vituoni kushiriki katika uchaguzi mkuu wa kuchagua rais, baada ya wagombea kufanya kampeni kali mjini Kinshasa iliokumbwa na vurugu.

View Article

Wamisri wamiminika vituoni kuchagua wabunge

Wamisri wapiga kura kulichagua bunge jipya katika uchaguzi uliosusiwa na baadhi waliokita kambi katika uwanja wa Tahrir.

View Article


Zoezi la kuhesabu kura , DRC laendelea

Zoezi la kuhesabu kura linaendelea katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo katika uchaguzi wa pili baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe,katika siku ya uchaguzi ambayo iligubikwa na hali ya mtafaruku na...

View Article

Dalili njema zaibuka kwenye mkutano wa Mazingira wa Durban

Wakati mazungumzo ya Jukwaa la Mataifa 194 juu ya Mabadiliko ya tabia nchi (UNFCC) yakiingia siku yake ya pili mjini Durban, kuna dalili ya hatua za kupunguza athari za gesi chafu kutoka sekta ya...

View Article


Mzozo wa madeni upatiwe ufumbuzi haraka

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa mwito kwa viongozi wa Ulaya kuchukua hatua za dhati kuumaliza upesi, mzozo wa madeni unaohatarisha kanda nzima ya sarafu ya euro na hata ukuaji wa kiuchumi nchini...

View Article

Mgogoro wa Euro waleta serikali mpya Ulaya lakini siasa zile zile

Hadi hivi sasa, mzozo wa fedha ulioibuka mwaka 2007 kote duniani, umeshasababisha serikali mpya kuchaguliwa katika baadhi ya nchi za Ulaya - lakini ionekanavyo, sababu halisi za mzozo huo wa fedha bado...

View Article

Matokeo ya kura DRC yaanza kubandikwa

Matokeo ya mwanzo ya uchaguzi yameanza kubandikwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura katika jamuhuri ya kidemokrasi ya Kongo, huku hali ya usalama ikitajwa kuwa shwari katika mji mkuu Kishansa.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live