Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Rais Saleh asaini makubaliano ya kuacha madaraka

$
0
0
Hatimaye Rais Ali Abdulla Saleh wa Yemen amesaini makubaliano yanayofungua njia ya kuondoka madarakani, akikabidhi madaraka hayo kwa makamo wake, naye akihakikishiwa kinga ya kutoshitakiwa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles