Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Shambulio la anga huko Somalia lauwa watu watano

Shambulio la anga lililofanywa na majeshi ya Kenya Jumapili limesababisha watu 5 kuuwawa na kuwajeruhi wengine 45, wengi wakiwa wanawake na watoto, katika kambi ya watu ambao wamekimbia makaazi yao...

View Article


Idadi ya wakaazi duniani imefikia watu bilioni saba

Katibu mkuu Ban Ki Moon amesema mtoto atakayetimiza idadi hii atakuwa katika dunia inayokabiliwa na utata, na changamoto kubwa katika vita dhidi ya umasikini.

View Article


Baraza la Mpito la Libya lachagua waziri mkuu mpya

Wajumbe wa Baraza la Mpito nchini Libya jana wamemteuwa msomi na mfanyabiashara atakayeongoza serikali ya mpito ya nchi hiyo wakati huu Jumuiya ya Kujihami ya NATO ikiwa imehitimisha operesheni yake.

View Article

Nini maana ya Palestina kuwa mwanachama mpya wa UNESCO?

Licha ya lawama kali za Marekani, Palestina imekubaliwa kuwa mwanachama kamili wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), hatua inayoonekana kuwa dalili njema kwa juhudi...

View Article

Israel kuiadhibu Palestina kwa uanachama wa UNESCO

Baada ya Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuikubalia Palestina uanachama kamili, baraza la mawaziri la Israel linakutana hivi leo (01.11.2011) kuzungumzia la kufanya...

View Article


Syria kukubaliana na mapendekezo ya Jumuiya ya Kiarabu

Mwakilishi wa Syria kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Youssef Ahmed, amewasili mjini Cairo akipeleka jibu la nchi yake kwa mpango uliopendekezwa na Jumuiya hiyo kumaliza mgogoro wa kisiasa unaoendelea...

View Article

Ugiriki kutakiwa kuamua kubakia au kutoka kwenye Euro

Huku Waziri Mkuu wa Ugiriki, George Papandreou, akikutana na viongozi wakuu wa Kanda ya Euro, imefahamika kuwa ile awamu ya sita ya mkopo kwa nchi yake imezuiwa kwa muda kutokana na pendekezo lake la...

View Article

Ujerumani na Ufaransa zatoa onyo kali dhidi ya serikali ya Ugiriki

Kansela Angela Merkel wa Ujerumani na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa wamefanya mkutano wa dharura katika mji wa Cannes nchini Ufaransa na kutoa onyo kali kwa Waziri Mkuu wa Ugiriki George Papandreou.

View Article


Mapigano yaendelea Syria licha ya jumuiya ya kiarabu kukubaliana kusitishwa...

Licha ya serikali ya Syria kutangaza kukubali mpango wa jumuiya ya kiarabu kumaliza vita na kuleta amani nchini humo, majeshi huko yamesababisha vifo vya watu watatu katika mikoa kadhaa mjini Homs,...

View Article


MKUTANO WA G 20 UNAANZA LEO MJINI CANNES

Viongozi wa nchi 20 muhimu duniani wanatarajiwa kuanza mkutano wao hivi punde.

View Article

Mkutano wa G20 kuijadili Ugiriki na madeni ya eneo la euro

Ajenda katika mkutano wa mataifa 20 yenye viwanda imegubikwa zaidi na suala la mzozo wa madeni katika eneo la umoja wa sarafu ya euro , pamoja na mtafaruku wa kisiasa nchini Ugiriki.

View Article

Mchezo wa kuigiza Ugiriki wafikia mwisho kura ya maoni hakuna

Mahesabu ya waziri mkuu wa Ugiriki George Papandreou yameparaganyika. Kwa kutaka kuitisha kura ya maoni alitaka kuwatwika wananchi jukumu, la kutoa maoni yao pamoja na kuunga mkono msaada kwa nchi yao

View Article

Mahujaj na mtandao wa Internet

Mawasiliano ya kimambo leo,yanapendwa na mahujaj mwaka huu.Lakini sio wao tu, hata maafisa wa serikali wa Saud Arabia wanatumia Facebook na Twitter.

View Article


Serikali ya Sudan yateka jimbo la Blue Nile

Jeshi la Sudan limetangaza kudhibiti makao makuu ya waasi mjini Kurmuk, katika jimbo la Blue Nile, miezi miwili baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe

View Article

Njaa ni tatizo la kisiasa

Ukweli ni kuwa duniani kuna chakula cha kutosha cha kumlisha kila mtu, lakini ubaya ni kwamba wanasiasa, hasa katika mataifa yanayoendelea, yameligeuza tatizo la njaa kuwa mtaji wao wa kisiasa.

View Article


Ibada ya Hjja huko Makka,Saudi Arabia

Ibada ya Hijja huko Makkah, kwa zaidi ya waislamu milioni 2.5 kutoka pande mbali mbali za dunia imeendelea leo kwa mahujaji wengi hivi sasa kuwasili Minna, mji ulioko nje kidogo ya Makkah.

View Article

Papandreou anusurika katika kura ya kuwa na imani

Waziri mkuu wa Ugiriki Geirge Papandreou ameshinda kura ya kuwa na imani na utawala wake , iliyopigwa bungeni mapema leo Jumamosi baada ya kuahidi kuanzisha mazungumzo ya kuunda serikali ya umoja wa...

View Article


Milipuko ya mabomu na risasi vyaitingisha Nigeria

Milipuko mitatu tofauti ya mabomu ya kujitoa mhanga imetokea kwenye makao makuu ya jeshi katika mji wa Maiduguri na minginge ya mabomu ya kutegwa barabarani imelitikisa eneo la kaskazini mwa Nigeria...

View Article

DAMU YAMWAGIKA NIGERIA

Watu zaidi ya 100 wauawa kutokana na mashambulio ya kigaidi nchini Nigeria

View Article

Serikali mpya kuundwa Ugiriki, Papandreou kujiuzulu

Ofisi ya Rais nchini Ugiriki imesema kwamba, waziri mkuu wa nchi hiyo na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani wamefikia makubaliano ya mwanzo juu ya uundaji wa serikali ya muda.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live