Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Baraza la Mpito la Libya lachagua waziri mkuu mpya

$
0
0
Wajumbe wa Baraza la Mpito nchini Libya jana wamemteuwa msomi na mfanyabiashara atakayeongoza serikali ya mpito ya nchi hiyo wakati huu Jumuiya ya Kujihami ya NATO ikiwa imehitimisha operesheni yake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles