Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Ugiriki kutakiwa kuamua kubakia au kutoka kwenye Euro

$
0
0
Huku Waziri Mkuu wa Ugiriki, George Papandreou, akikutana na viongozi wakuu wa Kanda ya Euro, imefahamika kuwa ile awamu ya sita ya mkopo kwa nchi yake imezuiwa kwa muda kutokana na pendekezo lake la kura ya maoni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles