Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Dresden: Miaka 70 baada ya maagamizi

Unatimu mwaka wa 70 tokea majeshi ya nchi yaliyofungamana dhidi ya fashisti Hitler kuushambulia kwa ndege mji wa Dresden, mashariki mwa Ujerumani. Maalfu ya watu walikufa kutokana na mashambulio hayo.

View Article


Michuano ya 21 ya Ligi ya Ujerumani

Bundesliga , Ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani inaingia katika michuano yake ya 21 Jumamosi Jumapili.

View Article


HRW yatoa ripoti ya kuuwawa 47 Burundi

Shirika la haki za binaadamu Human Rights Watch limesema katika ripoti yake mpya kuhusu Burundi, kwamba majeshi ya nchi hiyo na polisi walifanya mauaji kiasi ya 47 kati ya Desemba 30 2014 na Januari 3...

View Article

Makubaliano ya Minsk mashakani

Licha ya makubaliano yaliyosimamiwa na viongozi wa Ujerumani na Ufaransa kufikiwa kati ya pande hasimu nchini Ukraine, mapigano makali yameripotiwa hata wino wa saini za makubaliano hayo haujakauka.

View Article

Assad ni sehemu ya suluhisho asema Mistura

Suluhisho lolote katika mapigano nchini Syria linapaswa kumuhusisha pia rais Bashar al-Assad , mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Syria amesema katika hatua ya kwanza ya Umoja wa Mataifa kukiri...

View Article


Mapigano yapamba moto Ukraine

Mapigano makali yaendelea Ukraine Jumamosi (14.02.2015) na kutishia makubaliano ya kusitisha mapigano wakati serikali na Marekani zikiishutumu Urusi kwa kuchochea mashambulio ya waasi kuteka ardhi...

View Article

Usitishaji mapigano waanza rasmi Ukraine

Usitishaji mapigano umetangazwa rasmi mashariki mwa Ukraine saa sita usiku wa kuamkia Jumapili (15.02.2015) na kufufua matumaini ya utulivu katika mzozo ambao umesababisha zaidi ya watu 5,000 kupoteza...

View Article

Rais Nkurunziza kuwania muhula wa tatu Burundi

Msemaji wa Rais Piere Nkurunziza wa Burundi amesema Jumapili (15.02.2015) kwamba kiongozi huyo atawania muhula wa tatu madarakani katika uchaguzi wa mwezi wa Juni na kukaidi watu wanaosema atakiuka...

View Article


Dola la Kiislamu laua Wakristo 21 Libya

Jeshi la Misri limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya vituo vya Dola la Kiislamu nchini Libya, baada ya kundi hilo kusambaza video mtandaoni inayoonyesha Wakristo 21 kutoka Misri wakichinjwa.

View Article


Mkataba wa Minsk II waanza rasmi

Kwa ujumla makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa Ukraine kati ya vikosi vya serikali na vya waasi, Minsk II, yameanza rasmi licha ya kugubikwa na ufyatulianaji risasi wa hapa na pale.

View Article

SPD waibuka na ushindi Hamburg

Shangwe zimehanikiza tangu Hamburg hadi makao makuu ya chama cha SPD mjini Berlin.Baada ya ushindi katika uchaguzi wa jiji la Hamburg diwani mkuu Olaf Scholz anapewa nafasi ya kuvaa taji la uongozi wa...

View Article

Bayern yatumbukiza mabao manane dhidi ya Hamburg

Bayern Munich yapikisha mipira mara nane wavuni mwa Hamburg SV, Borussia Dortmund yaondoka kwa mara ya kwanza tangu mwaka kuanza kutoka katika eneo la hatari ya kushuka daraja.

View Article

Hakuna makubaliano kati ya Ugirki na Umoja wa Ulaya

Ugiriki imeshindwa kufikia makubaliano na wakopeshaji wake kuhusu mpango wa kupunguza madeni na kufufua uchumi. Mazungumzo kati ya serikali ya Ugiriki na mawaziri wa fedha wa Umoja wa Ulaya yamekwama.

View Article


Al-Sissi ataka azimio la UN kuhusu Libya

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sissi ameutolea wito Umoja wa Mataifa kuweka azimio juu ya muungano wa kimataifa utakaoingilia kati nchini Libya, kupambana na kundi linalojiita Dola la Kiislamu nchini humo.

View Article

Silaha kali bado hazijaondolewa kwenye uwanja wa mapambano mashariki mwa Ukraine

Majeshi ya Ukraine na ya waasi wanaoungwa mkono na Urusi bado hawajaziondoa silaha kali kutoka kwenye mpaka wa uwanja wa mapambano mashariki mwa Ukraine. Silaha hizo zilipaswa kuanza kuondolewa leo...

View Article


Olusegun Obasanjo ajiondoa kutoka chama tawala Nigeria

Rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo amejiondoa kama mwanachama wa chama tawala cha People's Democratic Party PDP hatua ambayo ni pigo kwa Rais wa sasa Goodluck Jonathan anayegombea muhula...

View Article

Wanajeshi wa Ukraine wakimbia mapigano Debaltseve

Mapigano bado yanaendelea nchini Ukraine na yamejikita zaidi katika mji wa Debaltseve, Mashariki mwa nchi. Hata hivyo mamia ya wanajeshi wanasemekana kusalimu amri na kuondoka mjini humo.

View Article


Biden ataka ushirikishwaji wahamiaji kupambana na siasa kali

Mkutano wa kimataifa jijini Washington juu ya kupambana na siasa kali umefunguliwa rasmi, huku Makamu wa Rais Joe Biden akisema dawa ni kuzijumuisha jamii za wachache kwenye mataifa ya Magharibi.

View Article

Boko Haram yauwa watu 38 Nigeria

Mashambulizi mawili ya watu walijitoa mhanga huko kaskazini/mashariki mwa Nigeria yamesababisha vifo vya takribani watu 38 ikiwa ni karibu wiki sita kabla ya kufanyika uchaguzi wa taifa hilo.

View Article

Mapigano yanaendelea Aleppo licha ya pendekezo juu ya kuyasimamisha

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anaeushughulikia mgogoro wa Syria amesema amepewa uhakika kwamba majeshi ya serikali yatasimamisha mashambulio katika mji wa Aleppo

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live