Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Wanajeshi wa Ukraine wakimbia mapigano Debaltseve

$
0
0
Mapigano bado yanaendelea nchini Ukraine na yamejikita zaidi katika mji wa Debaltseve, Mashariki mwa nchi. Hata hivyo mamia ya wanajeshi wanasemekana kusalimu amri na kuondoka mjini humo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles