Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Ujenzi wa kambi ya kijeshi Urusi

Wahariri wa magazeti wazungumzia uamuzi wa waziri wa uchumi wa Ujerumani Sigmar Gabriel kukikataza kiwanda kimoja cha hapa nchini kujenga kambi ya mazoezi ya kijeshi nchini Urusi.

View Article


Viongozi wa Marekani na Afrika wageukia biashara

Viongozi wa kisiasa na kibiashara kutoka Marekani na Afrika wanakutana Jumanne hii huku Washington ikitumai kuwa mkutano wa kilele wa kihistoria utapelekea kuongezeka kwa biashara na uwekezaji kati ya...

View Article


Vikosi vya Ukraine vyakaribia Donetsk

Ukraine imesema kuwa vikosi vyake vinakaribia kuingia kwenye ngome kuu inayoshikiliwa na waasi katika mkoa wa Donetsk na imewataka wapiganaji kuwaachia raia ili kuyakimbia mapigano katika miji ya...

View Article

Nigeria yashutumiwa kuuwa Boko Haram kikatili

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa jeshi la Nigeria limehusika katika matukio ya kikatili kwenye mapambano dhidi ya wapiganaji wa kundi la Boko Haram.

View Article

Mwanajeshi wa NATO auawa Afghanistan, 15 wajeruhiwa

Mwanajeshi moja wa jumuiya ya kujihami NATO ameuawa na Brigedia Jenerali kutoka Ujerumani ni miongoni mwa wengine 15 waliojeruhiwa, katika shambulizi magharibi mwa Kabul.

View Article


Ahueni yaendelea kuheshimiwa Gaza

Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa masaa 72 katika Ukanda wa Gaza yameendelea kuheshimiwa kwa leo, huku wajumbe wa Israel na Palestina wakijiandaa kwa mazungumzo ya kujaribu kurefusha ahueni iliyopo.

View Article

Marekani yaonya kusambaa siasa kali Afrika

Rais Barack Obama anakutana na viongozi Afrika kuhitimisha siku tatu za mijadala juu ya usalama, nishati na utawala bora, huku Marekani ikionya kusambaa kwa siasa kali kwenye bara hilo linaloinukia kwa...

View Article

Juhudi za kudhibiti Ebola zafanyika

Sierra Leone imewapeleka wanajeshi wake kulinda eneo ambapo waathirika wa Ugonjwa hatari wa ebola wamewekwa, huku kesi ya kwanza ya maambukizi ya ugonjwa huo Saudi Arabia, ikizua wasiwasi wa mripuko wa...

View Article


Hali ya kibinaadamu Ukraine ni mbaya

Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa amelionya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa katika mkutano wa dharura Jumanne(05.08.2014) kwamba hali ya kibinaadamu mashariki mwa Ukraine inazidi kuwa mbaya.

View Article


Usitishaji mapigano Gaza wazingatiwa

Usitishaji wa mapigano umeendelea kuzingatiwa wakati wasuluhishi wa Misri wakifanya mazungumnzo na Israel na wawakilishi wa Wapalestina ili kuwa na usitishaji wa mapigano utakaokomesha Gaza.

View Article

Kifungo cha Maisha kwa vigogo wa Khmer Rouge

Mahakama ya Cambodia inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imewahukumu kifungo cha maisha watu 2 waliokuwa vigogo wa utawala wa Khmer Rouge, baada ya kuwakuta na hatia ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.

View Article

Masaa 24 ya mwisho ya kuweka chini silaha Gaza

Waziri katika serikali ya Israel ameonya kuwa taifa lake litajibu mapigo endapo kundi la wanamgambo wa Kipalestina la Hamas litaanza mapigano baada ya hatua ya usitishwaji wa muda mfupi wa mapigano...

View Article

Hali ya dharura yatangazwa Liberia

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametangaza hali ya dharura nchini mwake kutokana mripuko wa ugonjwa wa Ebola na kuonya kwamba hatua zaidi zinahitajika ili kulinusuru taifa la Liberia.

View Article


Maoni : Fursa iliopotezwa - Mkutano wa Kilele Marekani na Afrika

Mkutano wa Kilele kati ya Afrika na Marekani ulikuwa na maneno matamu Afrika ni bara lenye matumaini makubwa na ahadi ya uwekezaji wa dola bilioni 14 kwa ajili ya uchumi wa Afrika lakini kwa kweli ni...

View Article

Wanamgambo wateka bwawa Iraq

Wanamgambo wa Kisunni kutoka kundi la Dola la Kiislamu wameliteka bwawa kubwa kabisa la Iraq na kuliweka chini ya udhibiti wake ikiwa ni rasilmali kubwa ya kuzalisha umeme na kusambaza maji.

View Article


Obama aidhinisha mashambulizi ya angani Iraq

Rais wa Marekani Barack Obama ameziagiza ndege za kivita kurudi tena katika anga ya Iraq kudondosha chakula kwa wakimbizi na ikihitajika zifanye mashambulizi kuzuwia kile alichokiita uwezekano wa...

View Article

Kenya yatakiwa kushughulikia sakata la ardhi

Waziri wa ardhi wa Kenya anaendelea na mchakato wa kuzifuta hati za kumiliki ardhi zilizotolewa kwa makampuni na watu binafsi katika kaunti ya Lamu.

View Article


WHO yatangaza Ebola janga la kimataifa

Shirika la Afya Duniani linasema virusi vya ugonjwa huo vinaendelea kusambaa kutoka Afrika Magharibi na sasa kufikia nchi nyingine. Mataifa mengi yameimarisha ukaguzi katika viwanja vya ndege.

View Article

Vikwazo vyaathiri biashara ya bidhaa za kiutu Iran

Chakula na dawa ni vitu ambavyo havijajumuishwa katika vikwazo vya Marekani na Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran, lakini benki nyingi zinahofia faini zinazotozwa na Marekani ijapokuwa biashara ni halali.

View Article

Palestina yataka mazungumzo yaendelee

Licha ya kuanza tena kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza, ujumbe wa Palestina kwenye mazungumzo ya amani mjini Cairo umesema mazungumzo ya kusaka amani ya kudumu yanaendelea.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live