Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Vikosi vya Ukraine vyakaribia Donetsk

$
0
0
Ukraine imesema kuwa vikosi vyake vinakaribia kuingia kwenye ngome kuu inayoshikiliwa na waasi katika mkoa wa Donetsk na imewataka wapiganaji kuwaachia raia ili kuyakimbia mapigano katika miji ya mashariki.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles