Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live
↧

Wanne washtakiwa kwa njama za kumuua rais Kagame

Washukiwa wanne wa uhaini nchini Rwanda walifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kula njama za kufanya mauaji dhidi ya viongozi wa serikali ya Rwanda akiwemo rais Paul Kagame pamoja na kufanya...

View Article


Rais Barack Obama ziarani Asia na Pacific

Rais Barack Obama wa Marekani anaanza ziara rasmi barani Asia kuanzia kesho,itakayomfikisha Japan,Corea ya kusini,Malaysia na Philippines.Lengo ni kutuliza hofu za washirika wake kuelekea China

View Article


Biden aishutumu Urusi

Makamu wa Rais wa Marekani, Joe Biden ameishutumu Urusi kwa kujaribu kuisambaratisha Ukraine na ameonya nchi hiyo inapaswa kuacha kuongea maneno matupu na ionyeshe vitendo vya kupunguza mzozo mashariki...

View Article

UN yatafakari vikwazo Sudan Kusini

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linafikiria kuweka vikwazo dhidi ya makundi yanayopigana nchini Sudan Kusini, huku rais wa nchi hiyo Salva Kiir, akimfukuza kazi mkuu wa majeshi, baada ya waasi...

View Article

Shambulizi la bomu jijini Nairobi

Watu wanne waliuawa katika mripuko wa gari uliotokea jana jioni kwenye kituo cha polisi cha Pangani mjini Nairobi, Kenya, miongoni mwa wahanga wakiwemo maafisi wawili wa polisi.

View Article


Obama kuhimiza vikwazo zaidi dhidi ya Urusi

Rais Barack Obama wa Marekani Ijumaa (25.04.2014) anatarajiwa kuwashinikiza washirika wake wa Ulaya kuiwekea vikwazo zaidi Urusi iwapo nchi hiyo itazidi kuimarisha vitendo vyake vya uchokozi nchini...

View Article

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Magazeti ya Ujerumani wiki hii yameandika juu ya hatari ya njaa Sudan kusini,na juu ya kutimuliwa kwa raia wa Jamhuri ya Kidemokasi ya Kongo kutoka Kongo Brazzaville.

View Article

Marekani, Ulaya waafiki vikwazo vipya kwa Urusi

Rais wa Marekani Barack Obama na viongozi wa nchi muhimu za Umoja wa Ulaya wamekubaliana juu ya hatua za kuiwekea Urusi vikwazo vipya. Maafisa wa Marekani wamesema vikwazo hivyo vinaweza kutekelezwa...

View Article


Afrika Kusini Yaadhimisha Miaka 20 ya Demokrasia

Wananchi wa Afrika Kusini wanasherehekea leo hii miaka 20 tangu kufanyika uchaguzi uliozishirikisha jamii zote za nchi hiyo katika uchaguzi uliomaliza utawala wa ubaguzi wa rangi.

View Article


Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yaadhimisha miaka 50

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jumamosi (26.04.2014) inaadhimisha miaka 50 tokea kuasisiwa kwake lakini sherehe hizo zimetiwa kiwingu na malumbano makali kuhusu mfumo wa muungano unavyopaswa kuwa.

View Article

Vladmir Klitschko ahifadhi taji lake la dunia

Bingwa wa ndondi wa Ukraine Vladmir Klitschko ametetea kwa urahisi mataji yake ya dunia ya uzito wa juu baada ya kumwangusha sakafuni mpinzani wake Muaustralia Alex Leapai katika raundi ya tano ya pigano

View Article

Papa awatangaza John wa 23 na John wa Pili watakatifu

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis Jumapili(27.04.2014) amewatangaza watangulizi wake wawili John wa 23 na John wa Pili kuwa watakatifu mbele ya umati uliofurika uwanja wa kanisa la...

View Article

Obama awaunga mkono majirani wa China mgogoro wa maeneo

Rais Barack Obama wa Marekani yuko nchini Ufilipino, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Asia, ambayo inalenga kuonyesha mshikamano kati ya Marekani na kanda hiyo, wakati wa mzozo baina ya China na...

View Article


Marekani Yapanga Kuiwekea Vikwazo zaidi Urusi

Marekani inapanga kutangaza vikwazo zaidi dhidi ya Urusi ,hatua inayotarajiwa pia kufuatwa na Umoja wa Ulaya,lengo likiwa kuitanabahisha Moscow iache kupalilia mgogoro wa Mashariki ya Ukraine

View Article

Hali bado yatisha Sudan Kusini

Navi Pillay yuko Sudan Kusini wakati ambapo nchi hiyo inazidi kukabiliwa na wimbi la mauaji huku sauti za kushutumu mauaji hayo zikiongezeka kusikika kutoka pembe zote za dunia

View Article


Dani Alves "autafuna" ubaguzi wa rangi

Matukio kadhaa ya ubaguzi wa rangi michezoni yanaendelea kushuhudiwa na kuripotiwa katika maeneo mbalimbali duniani, na tukio la karibuni kabisa limemhusu mchezaji Barcelona Mbrazil Dani Alves.

View Article

Hatima ya Mazungumzo ya Amani Mashariki ya Kati baada ya Aprili 29

Muda uliowekwa na Marekani wa kufanya mazungumzo ya kuleta suluhisho la mgogoro wa Mashariki ya Kati umemalizika na hakuna dalili ya kusonga mbele. Hata hivyo John Kerry amesema mchakato wa amani bado...

View Article


Berlusconi akanusha kauli kuhusu kambi za mateso Ujerumani

Berlusconi amedai Ujerumani haitambui kuwepo kwa kambi za mateso wakati wa utawala wa manazi. Wachambuzi wanaiona kauli ya Berlusconi aliyoitoa wakati wa kampeni kama jitihada ya mwisho kujinusuru...

View Article

Urusi yaondowa vikosi vyake mpakani na Ukraine

Urusi imeviondowa vikosi vyake mpakani na Ukraine na kuihakikishia Marekani kwamba haitoivamia Ukraine hatua ambayo inakuja wakati Marekani na Umoja wa Ulaya zikiiwekea vikwazo vipya Urusi kutokana na...

View Article

Adhabu ya kifo ya Misri yalaaniwa vikali

Umoja wa Mataifa na Marekani wamelaani vikali adhabu ya kifo dhidi ya watu 683 wanaodaiwa kuwa ni waislamu wenye msimamo mkali akiiwemo kiongozi wa chama cha udugu wa Kiislamu Mohamed Badie.

View Article
Browsing all 28146 articles
Browse latest View live