Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Wanne washtakiwa kwa njama za kumuua rais Kagame

$
0
0
Washukiwa wanne wa uhaini nchini Rwanda walifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kula njama za kufanya mauaji dhidi ya viongozi wa serikali ya Rwanda akiwemo rais Paul Kagame pamoja na kufanya mashambulizi ya kighaidi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28159

Trending Articles