Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 29418

Obama awaunga mkono majirani wa China mgogoro wa maeneo

$
0
0
Rais Barack Obama wa Marekani yuko nchini Ufilipino, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Asia, ambayo inalenga kuonyesha mshikamano kati ya Marekani na kanda hiyo, wakati wa mzozo baina ya China na majirani zake.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 29418

Trending Articles