Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28761

Al-Nusra Front washambulia makundi ya waasi Syria

$
0
0
Kundi la wanamgambo ambalo awali lilikuwa na mafungamano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaeda limefanya mashambulizi dhidi ya makundi mengine ya wanamgambo ya Jeshi Huru la Syria, FSA, wanaoungwa mkono na nchi za Magharibi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28761

Trending Articles