Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28950

Trump aagiza ukuta ujengwe kati ya Marekani na Mexico

$
0
0
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya rais kuidhinisha kuanza kujengwa ukuta katika mpaka kati ya Marekani na Mexico. Amri hiyo inalenga kutimiza mojawapo ya ahadi kuu za Trump alizozitoa wakati wa kampeini.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28950

Trending Articles