Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28733

Eneo la mashariki la Mosul lakombolewa

$
0
0
 Waziri Mkuu wa Iraq  Haider al-Abadi  ametangaza rasmi kukombolewa upande wa mashariki wa  mji wa Mosul ambao hapo awali ulikuwa ukidhibitiwa na wanamgambo wa kundi la itikadi kali linalojiita Dola la Kiisilamu (IS).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28733

Trending Articles