Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Polisi wafyatua mabomu ya kutoa machozi Uturuki

$
0
0
Polisi nchini Uturuki wamefyatua mabomu ya kutoa machozi jana Jumamosi(31.05.2014)wakiwatawanya waandamanaji katikati ya mji wa Istanbul wakati wa kumbukumbu ya mwaka mmoja ya maandamano makubwa kuipinga serikali.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles