Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Juncker : Umoja wa Ulaya haupaswi kutishwa

$
0
0
Jean Claude Juncker amesema anajiamini kuwa atakuwa rais mpya wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya licha ya onyo la Waziri Mkuu wa Uingereza kwamba jambo hilo litapelekea kujitowa kwa Uingereza kwenye umoja huo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 28146

Trending Articles