Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live

Suala la Syria kuhodhi mkutano wa mawaziri wa nje wa G8

Waasi wa Syria kukutana na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry na mawaziri wengine wa mambo ya nchi za nje wa Kundi la Mataifa Manane Tajiri Duniani G8 wanaokutana London leo Jumatano...

View Article


Bayern Munich yafuzu nusu fainali Champions League

Timu ya Bayern Munich jana Jumatano usiku (10.04.2013) imefanikiwa kuingia nusu fainali katika michuano ya Ligi ya Mabingwa wa Ulaya, baada ya kuifunga Juventus mabao 2-0 katika mechi iliyochezwa mjini...

View Article


Waasi wa M23 wazuia magari ya Umoja wa Mataifa

Tume ya kulinda amani ya umoja wa mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, MONUSCO, imelaani hatua ya kuzuiliwa kwa malori yake 10 yaliyokuwa yakibeba makontena.

View Article

Dhlakama atishia kushambulia

Kiongozi wa waasi wa Msumbiji Afonso Dhlakama ametishia kushambulia,vikosi vya serikali,ikiwa havitarejea nyuma kutoka kambi za mafichoni za RENAMO

View Article

Watoto ndio wahanga wakubwa wa ubakaji

Watoto ni wahanga wakubwa wa udhalilishaji wa kingono katika maeneo ya mizozo, linalalamika shirika la Uingereza, Save the Children na kuutaja utovu huo kuwa 'maovu makubwa na ya kutisha ya vita vya...

View Article


G8 wailaani Korea Kaskazini

Mawaziri wa mambo ya kigeni wa mataifa manane yaliyoendelea zaidi kiviwanda wameungana kuilaani Korea Kaskazini, na kuitaka nchi hiyo kukomesha mara moja kutoa vitisho vya kivita

View Article

Kerry awasili Korea Kusini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, amewasili leo nchini Korea Kusini katika ziara ya kidiplomasia, huku kukiwa na wasiwasi kwamba Korea Kaskazini inaweza kufyatua makombora ya nyuklia.

View Article

Umoja wa Ulaya kuiwekea vikwazo zaidi Korea Kaskazini ?

Umoja wa Ulaya utafikiria kuimarisha vikwazo vyake dhidi ya Korea Kaskazini iwapo nchi hiyo itaendelea kupalilia hali ya mvutano kwa kufyetuwa makombora au kufanya jaribo la silaha za nuklea katika...

View Article


Syria kuhodhi mkutano wa mawaziri wa nje wa G8

Waasi wa Syria kukutana na Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry na mawaziri wengine wa mambo ya nchi za nje wa Kundi la Mataifa Manane Tajiri Duniani G8 wanaokutana London leo Jumatano...

View Article


Tanzania: Ubadhirifu wa fedha za Umma

Maoni mbalimbali yanaendelea kutolewa nchini Tanzania juu ya ripoti ya mdhibiti mkuu na mkaguzi wa hesabu za serikali nchini humo, iliyomulika kiwango kikubwa cha ubadhirifu wa fedha za umma katika...

View Article

Wakimbizi wa Mali wako mashakani

Wakimbizi 74 elfu wa Mali wamekwama katika jangwa la Mauritania wakikumbwa na ukosefu wa maji na idadi ya vifo vya watoto ikizidi kuongezeka,linasema shirika la madaktari wasiokuwa na Mipaka-Medecins...

View Article

Champions League: Ujerumani dhidi ya Uhispania

Uwezekano wa timu mbili kutoka Ujerumani au timu mbili kutoka Uhispania kukutana mwezi ujao katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Champions League bado uko hai baada ya droo iliyofanywa mjini Nyon...

View Article

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

Wiki hii gazeti la"Berliner Zeitung" limeandika juu ya kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa nne wa jamhuri ya Kenya. Magazeti ya Ujerumani wiki hii pia yameandika juu ya biashara ya simu za...

View Article


Cameron, Merkel wajadili mageuzi ndani ya EU

Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel wamekutana karibu na jiji la Berlin siku ya Ijumaa, kama sehemu ya juhudi za Uingereza kushinikiza kuwepo mageuzi ndani ya...

View Article

Kerry awasili China, kituo chake cha pili

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, amewasili leo nchini China, katika juhudi za kuishawishi nchi hiyo kuishinikiza Korea Kaskazini kusitisha mpango wake wa nyuklia.

View Article


Waasi wa M23 waionya Tanzania

Waasi wa kundi la M23 wameitaka Tanzania kuachana na mipango ya kuchangia wanajeshi wake katika kikosi cha Umoja wa Mataifa kinachopangwa kutumwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kupambana...

View Article

Djotodia ahalalisha utawala wake Jamhuri ya Afrika ya Kati

Michel Djotodia, ambae muungano wake wa waasi wa Seleka ulichukua madaraka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati mwezi uliyopita, amechaguliwa siku ya Jumamosi kuwa rais wa mpito nchini humo na baraza la...

View Article


Polisi waanzisha msako Mogadishu

Polisi nchini Somalia wameanzisha msako mkubwa hii leo kutafuta silaha, siku moja baada ya mashambulizi makubwa kutokea mjini Mogadishu na kusababisha mauaji ya zaidi ya watu 35.

View Article

Chama cha SPD chapania ushindi Ujerumani

Chama kikuu cha upinzani nchini Ujerumani SPD, kimezindua kampeni yake siku ya Jumapili, kikiahidi ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwezi Septemba mwaka huu.

View Article

Bayern waangazia macho DFB Pokal

Wiki moja tu baada ya kujihakikishia taji la msimu huu la ligi ya soka Ujerumani – Bundesliga, Bayern Munich sasa wanatafuta taji jingine. Kombe la Shirikisho Ujerumani - DFB Pokal.

View Article
Browsing all 28159 articles
Browse latest View live