Quantcast
Channel: DW Kiswahili
Browsing all 28512 articles
Browse latest View live

Amnesty yaonya kuhusu kuongezeka kwa tofauti za kidunia

Ripoti ya shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International imeonya kuhusu kuwepo kwa tofauti za kidunia kuelekea masuala ya haki za binaadamu zinachochea kuongezeka kwa...

View Article


May aliahidi bunge kuchelewesha mchakato wa Brexit

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May ameahidi kuliruhusu Bunge kuchelewesha mchakato wa kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu Brexit kwa hadi miezi mitatu, ili nchi hiyo isije ikaondoka bila ya mkataba...

View Article


Silaha za Ujerumani zatumika vita vya Yemen - Ripoti ya DW

Uchunguzi wa DW umebaini kuwa silaha zilizotengenezwa Ujerumani zinatumika katika vita vya Yemen ambavyo vimeshaangamiza maelfu ya watu na kuwageuza wengine kadhaa wakimbizi na kutumbukia kwenye...

View Article

Mgogoro watokota kati ya India na Pakistan

Katika kadhia nyingine jeshi la anga la Pakistan limezitungua ndege mbili za kijeshi za India baada ya ndege hizo kuruka na kuvuka mpaka unaoyatenganisha mataifa hayo mawili katika jimbo la mzozo la...

View Article

Mkenya ahukumiwa kwa kumuiga rais kuwatapeli watu

Watu 7 waliojifanya rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na kuwatapeli wafanyabiashara kiasi cha shilingi milioni 10 wameshitakiwa nchini Kenya.

View Article


Spika Uganda aunga mkono shindano la wanawake wanene

Shindano la uembo la wanawake wanene au wenye maumbo makubwa nchini Uganda limepata uungwaji mkono kutoka kwa spika wa bunge la nchi hiyo. Baadhi ya viongozi katika jamii wamekosoa lengo la shindano hilo.

View Article

Merkel na Macron wagusia kuchelewa kwa Brexit

Kansela Angela Merkel amekutana na rais Emmanuel Macron mjini Paris katika mazungumzo yaliyotuama zaidi kwenye suala la Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya, uhusiano na Marekani pamoja na masuala...

View Article

Pakistan yataka kufanyike mazungumzo kati yake na India

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amemtolea wito Waziri Mkuu wa India Narendra Modi wa kufanya mazungumzo kwa ajili ya kuutatua mvutano unaoongezeka kati ya nchi hizo mbili jirani zinazomiliki silaha...

View Article


Maoni: Aliyeshinda na aliyeshindwa Nigeria wote wabaya

Licha ya Muhammadu Buhari kumshinda Atiku Abubakari kwenye uchaguzi, Thomas Mösch wa Idhaa ya Kihausa ya DW anasema aliyeshinda na aliyeshindwa wote ni wabaya na sasa wanachoweza kufanya ni kuitendea...

View Article


Kim, Trump waanza siku ya pili ya mazungumzo

Rais wa Marekani Donald Trump na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wameanza siku ya pili ya mazungumzo, baada ya kukutana jana katika hafla ya chakula cha jioni

View Article

Hakuna makubaliano yaliyofikiwa kati ya Trump na Kim

Rais Donald Trump wa Marekani amesema alitoka mkutanoni na kumuacha Kim Jong Un wa Korea Kaskazini, kwasababu kiongozi huyo alitaka vikwazo vyote ilivyowekewa nchi yake viondolewe.

View Article

Afrika yaanzisha kampeni ya kukomesha silaha kufikia 2020

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepongeza kampeni ya Afrika ya kukomesha silaha barani humo ifikapo mwaka 2020 na kutaka jumuiya ya kimataifa kuunga mkono kampeni hiyo ili kuweza kupata amani...

View Article

Ushahidi wa Michael Cohen fedheha kwa Donald Turmp

Siku moja baada ya kumshutumu Rais Donald Trump kuwa ni mwongo na mbaguzi, mwanasheria wake wa zamani Michael Cohen leo ataendelea kutoa ushahidi wake mbele ya kamati ya upelelezi lakini nyuma ya pazia. 

View Article


Rais Bashir akabidhi uongozi wa chama kwa makamu wake

Rais wa Sudan, Omar al-Bashir amekabidhi uongozi wa chama tawala nchini humo kwa makamu wake aliyeteuliwa hivi karibuni, mnamo jumla ya waandamanaji wanane wanaoipinga serikali wakihukumiwa kifungo...

View Article

Wapiganaji wa Al shabaab wakabiliana na wanajeshi Somalia

Makabiliano ya risasi kati ya wanajeshi wa Somalia na wanamgambo wa Al shabaab yaliendelea siku ya Ijumaa (01.03.2019) katika eneo la hoteli ya Al Mukarama.

View Article


Venezuela yaigeukia Urusi kuomba msaada

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameamuru ofisi za kampuni ya taifa ya mafuta zilizoko mjini Lisbon kuhamishiwa mjini Moscow, mnamo Urusi ikiapa kuendelea kumsaidia rais huyo ikiwa ni pamoja na kutuma...

View Article

Heiko Maas amaliza ziara yake Afrika

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani, Heiko Maas, amemaliza ziara yake ya Afrika Magharibi, ambayo kituo chake cha mwisho kilikua nchini Mali.

View Article


Nini kilivuruga mazungumzo ya Trump na Kim huko Hanoi?

Rais Donald Trump aliondoka katika mkutano wake na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un kwasababu Kim alitaka Marekani iondoe vikwazo vyote, madai ambayo Korea Kaskazini inayakana.

View Article

Edward Lowassa arejea CCM

Mwanasiasa wa Upinzani nchini Tanzania Edward Lowasa ametangaza kujiunga tena na chama tawala nchini humo CCM kiasi miaka minne tangu alipohamia upinzani na kuwania kiti cha urais mwaka 2015.

View Article

Marekani yaweka vikwazo vipya dhidi ya Venezuela

Marekani na Urusi  zilipambana jana Ijumaa kuhusiana na jinsi ya kuisaidia Venezuela iliyokumbwa na mzozo, ambapo Urusi iliahidi njia  mpya za kutoa misaada kupitia  rais Nicolas Maduro na Marekani...

View Article
Browsing all 28512 articles
Browse latest View live